nyamakonge
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 363
- 130
wakuu nachukua fursa hii,kutangaza rasmi kujiunga na chama cha demokrasia na maendeleo.NIA yangu hii ya dhati inafuatia utafiti mkubwa nilofanya kwa vyama mbalimbali vya siasa hapa nchini.MUNGU NISAIDIE KATIKA HARAKATI HIZI.nyamakonge o nyamakonge.