wakuu nachukua fursa hii,kutangaza rasmi kujiunga na chama cha demokrasia na maendeleo.NIA yangu hii ya dhati inafuatia utafiti mkubwa nilofanya kwa vyama mbalimbali vya siasa hapa nchini.MUNGU NISAIDIE KATIKA HARAKATI HIZI.nyamakonge o nyamakonge.
Mwigulu nchemba amlipua mbowe bungeni mda huu, ni kuhusu kumkataza joyce mukya kufanya kazi za kibunge alizopokea posho badala yake aende dubai "kwa kazi maalumu"
kwamba habari zilizotawala vichwa vya habari leo vimelichafua bunge isivyo halali badala yake mbowe ashughulikiwe kama mbunge binafsi.
Tazama video hapa chini.
unakunywa gongo?
NENDA LUMUMBAHodi ya chooni haihitaji karibu
Na wewe itakuwa mchaga
Nakupongeza sana karibu Taifa kubwa