Mwanafikra huru
Senior Member
- Jan 17, 2013
- 141
- 18
¿ MAWAZO HURU
mim....................Natangaza kuhamia CHADEMA rasmi ikiwa yafuatayo yatatimizwa
mim....................Natangaza kuhamia CHADEMA rasmi ikiwa yafuatayo yatatimizwa
- Zitto Z Kabwe awe Mkt wa CHADEMA taifa na 2015 awe ndio mgombea urais CHADEMA
- Mkt wa BAVICHA awe Habib Mchange badala ya Heche John wa sasa
- Katibu mkuu CHADEMA atoke mikoa ya pwani na Mtwara ili kuleta uwiano wa kanda kwa sababu chama kwa sasa ni cha kitaifa
- John Heche akagombee udiwani Tarime naa achane na ndoto za kukombea ubunge, ubunge amuachie Charles Mwera