Aliye toroka mirembe awe na point ngumu kama hizo
jibuni hoja kwa hoja
5 Mbowe na Dr slaa wasiwe na nafsi zozote ndani ya chama wabaki kuwa washauri tu
6 Vijana wanaoitwa MASALIA wapewe nafsi sawa na waongoze vugu vugu la mabadiliko M4C
7 Juliana Shonza awe Mkt wa BAWACHA( Baraza za Wabawake CHADEMA) ili kukipa chama sura ya kitaifa na pia kuuondoa dhana ya kuwapatta wabunge viti maalumu kwa kuangalia nani ni ndugu wa nani
kwa mashart hayo machcache ntajiunga Chadema
Peoplesssssssssssssss
Mimi natamani kuamia nyumbani kwenu niwe BABA AKO wa kambo.