¿ MAWAZO HURU
mim....................Natangaza kuhamia CHADEMA rasmi ikiwa yafuatayo yatatimizwa
- Zitto Z Kabwe awe Mkt wa CHADEMA taifa na 2015 awe ndio mgombea urais CHADEMA
- Mkt wa BAVICHA awe Habib Mchange badala ya Heche John wa sasa
- Katibu mkuu CHADEMA atoke mikoa ya pwani na Mtwara ili kuleta uwiano wa kanda kwa sababu chama kwa sasa ni cha kitaifa
- John Heche akagombee udiwani Tarime naa achane na ndoto za kukombea ubunge, ubunge amuachie Charles Mwera
Mimi natamani kuamia nyumbani kwenu niwe BABA AKO wa kambo.
Na kuunga mkono muzeeeeee nadhani ujumbe wataufanyia kazi hata kama siyo kwa jinsi ulivyo shauri lakini vyovyote vile ila ujumbe umeufikisha.
shuka la hospital umerudisha?
shuka la hospital umerudisha?
shuka la hospital umerudisha?
¿ MAWAZO HURU
mim....................Natangaza kuhamia CHADEMA rasmi ikiwa yafuatayo yatatimizwa
- Zitto Z Kabwe awe Mkt wa CHADEMA taifa na 2015 awe ndio mgombea urais CHADEMA
- Mkt wa BAVICHA awe Habib Mchange badala ya Heche John wa sasa
- Katibu mkuu CHADEMA atoke mikoa ya pwani na Mtwara ili kuleta uwiano wa kanda kwa sababu chama kwa sasa ni cha kitaifa
- John Heche akagombee udiwani Tarime naa achane na ndoto za kukombea ubunge, ubunge amuachie Charles Mwera
huyo atakuwa ni mgonjwa wa akili akapimwe akili