PreGE2025 Natangaza kugombea Ubunge

PreGE2025 Natangaza kugombea Ubunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
6,087
Reaction score
5,352
==
Mimi ni kada mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi CCM mwenye namba ya uanachama CM 1774858,

Rasmi natangaza kugombea na kushinda nafasi ya Ubunge katika Jimbo letu kwa nguvu ya Mungu,

Uzoefu ndani ya chama ni miaka 7,

Naomba ushauri, mawazo na connections ni jinsi gani naweza kushinda na kuwaongoza Wananchi wangu,

Asanteni sana team jf naombeni baraka zenu,
 
==


Naomba ushauri, mawazo na connections ni jinsi gani naweza kushinda na kuwaongoza Wananchi wangu,
Teuliwa kwanza na chama
Unarukia jinsi utakavyowaongoza wananchi wakati hata uteuzi wa kuwa mgombea hujapata
 
Japokuwa ni haki yako ila naomba nikuite we ni MPUUZI. Ni aibu kuona kijana leo hii unaunga mkono hicho chama, anyway all the best.
Mkuu kila mmoja na mapenzi yake hatuwezi wote kuwa CHADEMA
 
Usidharau taaluma, tuone wataalamu tukuandikie ajenda pamoja na strategic planning ya ku execute hili jambo.

Maana trust me, hii ni investment ya pesa nyingi kama kweli una maanisha, na huwezi kwenda bila plan
 
==
Mimi kada wa CCM mwenye namba ya uanachamq CM 1774858,

Natangaza kugombea na kushinda nafasi ya Ubunge katika Jimbo letu.

Uzoefu ndani ya chama ni miaka 7,

Naomba ushauri, mawazo na connections ni jinsi gani naweza kushinda na kuwaongoza Wananchi wangu,

Asanteni sana naombeni baraka zenu,
Ushauri wangu , kama muislam basi tafuta madrasa au msikiti uongoze. Ukiondoka ktk dunia mapato yako yataingia kwa wingi ktk account yako
 
Namimi wazee wameniomba natangaza nia na nitaingia ulingoni na Jumanne Kishimba.
 
Back
Top Bottom