Natamani niwe mlevi

Natamani niwe mlevi

Nimeona watu( nyumbani kwangu) wanalewa pombe,wanadhani wanapendeza sana wakilewa. Halafu,wanakaribia kuteleza,kujikwaa,kuanguka katika ngazi. And then they calm down.
 
Nakushauri tu kitu kimoja ukishakuwa mwanachama mwenzetu ukipiga vitu vikakuzidi hadi kushindwa kumove kama unalala sehemu we lala tu ila usilalie tumbo maana utakuwa compromised kwenye maeneo yenye wahuni hakikisha Unalalia mgongo unakuwa unatizama mbingu
Hahahaaaaaaaa.....,.alale ameangalia mbinguni..
 
Mimi ni mtumiaji mzuri tu wa pombe ila binafsi sikushauri kuingia huku na wala sijawahi kumshauri mtu kunywa pombe ila nawashauri wengi kuacha pombe.......
Nina mzee mmoja rafiki yangu sana yeye kaanza kunywa pombe mwaka jana akiwa na 40+ years baada ya kufilisika (alikuwa ni mfanya biashara wa dhahabu) na kibaya kaanzia kunywa pombe kali kama Kvant Value na Konyagi. aliponiambia kaanza kunywa pombe eti apunguze mawazo na apate usingizi niliumia sana na nikamjibu on the spot kuwa hakuna maamuzi mabaya aliyofikia katika maisha yake kama hayo kwa kuwa hatoweza kurudi tena katika hali ya kawaida na ndio kashapotelea huko mazima..
Mzee akanishangaa sana kwa nini nampinga wakati mimi nakunywa na ameshawahi kulipa bili zangu mara nyingi tu na wakati mwingine alikuwa akiniona niko bored ananiboost mifumo ili nikapige gambe....unajua why atapotea kwa sababu kaingia kwenye chama kwa stress na machungu kwa hivyo lazima tutamuokota mitaroni one day
Pombe imenirudisha nyuma sana na imenifanya adicts natamani sana kuacha pombe na tayari nipo kwenye zoezi la kuacha naendelea nalo
 
Habari wana JF poleni na Majukumu ya kazi.

Kila Mwaka una kuja kwa namna yake ila mwaka huu nauona unanikalia tofauti kama si vibaya. Maana Toka Mwaka uanze najikuta katika Hali ya sintofahamu Juu ya hisia hii ya Ajabu inayonipata.

Hisia zenyewe ni jinsi nawatafakari watu wanaokunywa pombe kuona wanafaidi sana na kupata muda mzuri kujiondoa na stress ndogo ndogo.

Hii hali inanitia shauku sana nami nijiingize katika kundi hilo nikajionee kwa binafsi yangu namna wanavyofurahia Maisha yao pindi wakiwa mtungi.

Binafsi sijawahi kunywa kilevi chochote mpaka miaka hii 27 niliyonayo mpaka sasa.

Kheri ya Mwaka mpya Wakuu.

Pombe ni chakula jamaa yangu! Unakunywa kiasi kama unavyokula kiasi......!!!!
 
Mimi ni mtumiaji mzuri tu wa pombe ila binafsi sikushauri kuingia huku na wala sijawahi kumshauri mtu kunywa pombe ila nawashauri wengi kuacha pombe.......
Nina mzee mmoja rafiki yangu sana yeye kaanza kunywa pombe mwaka jana akiwa na 40+ years baada ya kufilisika (alikuwa ni mfanya biashara wa dhahabu) na kibaya kaanzia kunywa pombe kali kama Kvant Value na Konyagi. aliponiambia kaanza kunywa pombe eti apunguze mawazo na apate usingizi niliumia sana na nikamjibu on the spot kuwa hakuna maamuzi mabaya aliyofikia katika maisha yake kama hayo kwa kuwa hatoweza kurudi tena katika hali ya kawaida na ndio kashapotelea huko mazima..
Mzee akanishangaa sana kwa nini nampinga wakati mimi nakunywa na ameshawahi kulipa bili zangu mara nyingi tu na wakati mwingine alikuwa akiniona niko bored ananiboost mifumo ili nikapige gambe....unajua why atapotea kwa sababu kaingia kwenye chama kwa stress na machungu kwa hivyo lazima tutamuokota mitaroni one day
Pombe imenirudisha nyuma sana na imenifanya adicts natamani sana kuacha pombe na tayari nipo kwenye zoezi la kuacha naendelea nalo
Ntaonja mara Moja Kisha ntaachana nayo tu muhimu ntakua nmejua ni aina gani za Feelings zinawapata
 
Habari wana JF poleni na Majukumu ya kazi.

Kila Mwaka una kuja kwa namna yake ila mwaka huu nauona unanikalia tofauti kama si vibaya. Maana Toka Mwaka uanze najikuta katika Hali ya sintofahamu Juu ya hisia hii ya Ajabu inayonipata.

Hisia zenyewe ni jinsi nawatafakari watu wanaokunywa pombe kuona wanafaidi sana na kupata muda mzuri kujiondoa na stress ndogo ndogo.

Hii hali inanitia shauku sana nami nijiingize katika kundi hilo nikajionee kwa binafsi yangu namna wanavyofurahia Maisha yao pindi wakiwa mtungi.

Binafsi sijawahi kunywa kilevi chochote mpaka miaka hii 27 niliyonayo mpaka sasa.

Kheri ya Mwaka mpya Wakuu.
Nunuq double kick mbili tu kwa siku
 
Mimi ni mtumiaji mzuri tu wa pombe ila binafsi sikushauri kuingia huku na wala sijawahi kumshauri mtu kunywa pombe ila nawashauri wengi kuacha pombe.......
Nina mzee mmoja rafiki yangu sana yeye kaanza kunywa pombe mwaka jana akiwa na 40+ years baada ya kufilisika (alikuwa ni mfanya biashara wa dhahabu) na kibaya kaanzia kunywa pombe kali kama Kvant Value na Konyagi. aliponiambia kaanza kunywa pombe eti apunguze mawazo na apate usingizi niliumia sana na nikamjibu on the spot kuwa hakuna maamuzi mabaya aliyofikia katika maisha yake kama hayo kwa kuwa hatoweza kurudi tena katika hali ya kawaida na ndio kashapotelea huko mazima..
Mzee akanishangaa sana kwa nini nampinga wakati mimi nakunywa na ameshawahi kulipa bili zangu mara nyingi tu na wakati mwingine alikuwa akiniona niko bored ananiboost mifumo ili nikapige gambe....unajua why atapotea kwa sababu kaingia kwenye chama kwa stress na machungu kwa hivyo lazima tutamuokota mitaroni one day
Pombe imenirudisha nyuma sana na imenifanya adicts natamani sana kuacha pombe na tayari nipo kwenye zoezi la kuacha naendelea nalo
Hilo la kuacha ni jambo jema Mwenyez Mungu akusimamie katika hilo
 
Pombe si ya kunywa kila siku ,uwe na siku maalum ya kunywa kama burudani tu ,na pombe si ya kila mtu,kuna mtu akianza kunywa pombe na mambo yake ndo yanaishia hapo,hatazalisha chochote na hata kama atazalisha ni kwa kiasi kidogo na mwisho wake ni kuwa kapuku
 
Karibu chamani mkuu, pombe sio mbaya kama wadau wanavyoisema vibaya.

Usianze kunywa vikali utafauka, kwa umri wako anza na vilaini tu japo wana watakutenga na kukuona jau unawaletea kiwingu ila usiache kunywa pombe laini kwanza.

Baadae ndio uanze kutest ladha tofauti baada ya kukijua kichwa chako kina uwezo gani, na pombe gani ukinywa unakuaje kimwili na kiakili na ipi inakufaa zaidi.

Baada ya hapo utakua umefuzu na kua mnywaji/mlevi kwa kadri unavyotaka wewe.

Kumbuka hakuna mashindano ya ulevi au ugugumiaji pombe wala huwezi kuishinda/kuimaliza pombe duniani. Kunywa kistaarabu uepuke fedheha.
Ni mara chache sana kupokea wageni wa umri wako miaka hii. Maana sasa hiv madogo 16yrs tayari ni chapombe.
 
Habari wana JF poleni na Majukumu ya kazi.

Kila Mwaka una kuja kwa namna yake ila mwaka huu nauona unanikalia tofauti kama si vibaya. Maana Toka Mwaka uanze najikuta katika Hali ya sintofahamu Juu ya hisia hii ya Ajabu inayonipata.

Hisia zenyewe ni jinsi nawatafakari watu wanaokunywa pombe kuona wanafaidi sana na kupata muda mzuri kujiondoa na stress ndogo ndogo.

Hii hali inanitia shauku sana nami nijiingize katika kundi hilo nikajionee kwa binafsi yangu namna wanavyofurahia Maisha yao pindi wakiwa mtungi.

Binafsi sijawahi kunywa kilevi chochote mpaka miaka hii 27 niliyonayo mpaka sasa.

Kheri ya Mwaka mpya Wakuu.
Usijaribu ndugu, wenzio tulikua huko na tukaamua kuacha na kuendelea na maisha mengine. Pombe hazina faida wala ufahari wa aina yoyote.
Kwakua hujaanza usianze unaweza kushindwa kutoka baadaye.
 
Pombe haiondoi mawazo inakupumbaza kwa muda tu na ukiindekeza pindi matatizo yakizidi unakua mlevi had mtoto mdogo wa miaka 5 atakudharau
 
Kama unataka kuyakwepa majukumu kwa kivuli cha kuitwa mlevi ingia ila amini nakuambia utapotea vibaya mno yaani
Sio kweli. Watu tunagonga mtungi na majukumu yetu tunayatimiza kama kawa. Kwanza ukilewa ndio akili ya pesa inaongezeka
 
Pombe haiondoi mawazo inakupumbaza kwa muda tu na ukiindekeza pindi matatizo yakizidi unakua mlevi had mtoto mdogo wa miaka 5 atakudharau
so nisinywe au?!
 
Usijaribu ndugu, wenzio tulikua huko na tukaamua kuacha na kuendelea na maisha mengine. Pombe hazina faida wala ufahari wa aina yoyote.
Kwakua hujaanza usianze unaweza kushindwa kutoka baadaye.
sawa
 
Kuna mwenzako anatumia jina la profile yako
 
Back
Top Bottom