Natamani niwe mlevi

Natamani niwe mlevi

Kama kweli unataka kuingia kwenye hiki chama jitahidi upate mentor mzuri kama mimi Jr ili uwe unakunywa pombe za afya na za faida...

Lakini ngoja nikupe kanuni 3 za msingi za kuanza nazo, utakapoanza kunywa pombe

Jitambue wewe ni nani
Fahamu uko wapi
Jua unachokifanya
Brother pombe zenye afya na za faida unaweza kutupa mwongozo kidogo ni za namna gani?
Naomba kujua pia hizi local bia zipo upande gani labda, ni pombe za afya na za faida ?
Natanguliza shukurani.
 
Habari wana JF poleni na Majukumu ya kazi.

Kila Mwaka una kuja kwa namna yake ila mwaka huu nauona unanikalia tofauti kama si vibaya. Maana Toka Mwaka uanze najikuta katika Hali ya sintofahamu Juu ya hisia hii ya Ajabu inayonipata.

Hisia zenyewe ni jinsi nawatafakari watu wanaokunywa pombe kuona wanafaidi sana na kupata muda mzuri kujiondoa na stress ndogo ndogo.

Hii hali inanitia shauku sana nami nijiingize katika kundi hilo nikajionee kwa binafsi yangu namna wanavyofurahia Maisha yao pindi wakiwa mtungi.

Binafsi sijawahi kunywa kilevi chochote mpaka miaka hii 27 niliyonayo mpaka sasa.

Kheri ya Mwaka mpya Wakuu.
kwenu hakuna wakubwa?
 
Kama kweli unataka kuingia kwenye hiki chama jitahidi upate mentor mzuri kama mimi Jr ili uwe unakunywa pombe za afya na za faida...

Lakini ngoja nikupe kanuni 3 za msingi za kuanza nazo, utakapoanza kunywa pombe

Jitambue wewe ni nani
Fahamu uko wapi
Jua unachokifanya
Nakumbuka huko siku za nyuma miaka 2018, nilikuwa nawaza sana juu ya unywaji wangu,nilikuwa napiga hesabu pesa ninayo tumia kwa siku ,wiki hadi mwezi.
Ilifikia siwezi kupitisha siku bila kuzama bar ,na nilazima nipige nne au tano ndo kidogo akiri itulie.

Nilikuwa najiona napotea kabisa na vile vipesa vilikuwepo ndo kabisa katabia nako ndo kakashamiri.
Kuna siku nikafika bar nikaagiza bia zangu mbili nikakaa ,nikazitizama wee nikawa najiuliza nitafanya hivi hadi lini ? Nikamuita mhudumu nikalipa nikamwambia kunywa huizi bia, mie nina dozi ndo nimekumbuka hapa.Nikarudi zangu hom.
Pombe si nzuri ,ina kaushetani hasa ikiona una hela za kuinunua kila siku,haitakuacha salama
 
Habari wana JF poleni na Majukumu ya kazi.

Kila Mwaka una kuja kwa namna yake ila mwaka huu nauona unanikalia tofauti kama si vibaya. Maana Toka Mwaka uanze najikuta katika Hali ya sintofahamu Juu ya hisia hii ya Ajabu inayonipata.

Hisia zenyewe ni jinsi nawatafakari watu wanaokunywa pombe kuona wanafaidi sana na kupata muda mzuri kujiondoa na stress ndogo ndogo.

Hii hali inanitia shauku sana nami nijiingize katika kundi hilo nikajionee kwa binafsi yangu namna wanavyofurahia Maisha yao pindi wakiwa mtungi.

Binafsi sijawahi kunywa kilevi chochote mpaka miaka hii 27 niliyonayo mpaka sasa.

Kheri ya Mwaka mpya Wakuu.

Mkuu Mi natamani sana Kuwa Mzinzi ila sijui Kwanini Nashindwa Daaa🥱
wajuvi waje wanipe Mbinu
 
Kilevi kina gharama na kinakuja na extras
Piga hesabu kwa walevi wanavyotumia hela zao kwa siku x wiki x mwezi x mwaka halafu tafakari
Ila ni uamuzi wako pia kama umelifikiria hilo na umeamua kufanya good luck
Nmejipanga na sitafeli kwa hesabu kuu katika mzunguko wangu
 
Back
Top Bottom