@Mshana Jr barikiwa mkuu na nmepokea baraka zakoKama kweli unataka kuingia kwenye hiki chama jitahidi upate mentor mzuri kama mimi Jr ili uwe unakunywa pombe za afya na za faida...
Lakini ngoja nikupe kanuni 3 za msingi za kuanza nazo, utakapoanza kunywa pombe
Jitambue wewe ni nani
Fahamu uko wapi
Jua unachokifanya
Nakumbuka huko siku za nyuma miaka 2018, nilikuwa nawaza sana juu ya unywaji wangu,nilikuwa napiga hesabu pesa ninayo tumia kwa siku ,wiki hadi mwezi.
Ilifikia siwezi kupitisha siku bila kuzama bar ,na nilazima nipige nne au tano ndo kidogo akiri itulie.
Nilikuwa najiona napotea kabisa na vile vipesa vilikuwepo ndo kabisa katabia nako ndo kakashamiri.
Kuna siku nikafika bar nikaagiza bia zangu mbili nikakaa ,nikazitizama wee nikawa najiuliza nitafanya hivi hadi lini ? Nikamuita mhudumu nikalipa nikamwambia kunywa huizi bia, mie nina dozi ndo nimekumbuka hapa.Nikarudi zangu hom.
Pombe si nzuri ,ina kaushetani hasa ikiona una hela za kuinunua kila siku,haitakuacha salama

Tuna mkaribisha kwa moyo mkunjufuMLEVi Mmoja mwanachama wako mpya huyo mkaribishe na kumpa muongozo...
Waungwana wanasema too much is harmfulBrother pombe zenye afya na za faida unaweza kutupa mwongozo kidogo ni za namna gani?
Naomba kujua pia hizi local bia zipo upande gani labda, ni pombe za afya na za faida ?
Natanguliza shukurani.
Kampani na mazingiraNakumbuka huko siku za nyuma miaka 2018, nilikuwa nawaza sana juu ya unywaji wangu,nilikuwa napiga hesabu pesa ninayo tumia kwa siku ,wiki hadi mwezi.
Ilifikia siwezi kupitisha siku bila kuzama bar ,na nilazima nipige nne au tano ndo kidogo akiri itulie.
Nilikuwa najiona napotea kabisa na vile vipesa vilikuwepo ndo kabisa katabia nako ndo kakashamiri.
Kuna siku nikafika bar nikaagiza bia zangu mbili nikakaa ,nikazitizama wee nikawa najiuliza nitafanya hivi hadi lini ? Nikamuita mhudumu nikalipa nikamwambia kunywa huizi bia, mie nina dozi ndo nimekumbuka hapa.Nikarudi zangu hom.
Pombe si nzuri ,ina kaushetani hasa ikiona una hela za kuinunua kila siku,haitakuacha salama
Ila uwe makini sana na pombe...@Mshana Jr barikiwa mkuu na nmepokea baraka zako
Asante sana kwa mwongozo,Waungwana wanasema too much is harmful
Kunywa unapokuwa na muda
Kula ushibe kabla ya kunywa
Kunywa kama una pesa ya ziada
Kunywa kwa kiasi
Epuka pombe kali hasa hizi za bei rahisi sana! Lakini kama ni mtumiaji kunywa kwa kiasi na usinywe kavu
Always kuwe na chupa kubwa ya maji kwenye meza ya pombe
Wahi kulala