L lee jack JF-Expert Member Joined Jan 17, 2017 Posts 1,082 Reaction score 1,915 Sep 17, 2023 #41 Mkuu mbona kitabu kina page tatu tuu
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 20,548 Reaction score 44,314 Sep 17, 2023 #42 Pamoja na kua sina kazi ya kueleweka na wala sio ya nilichosomea ila bado nataka kusoma zaidi. Sijutii kusoma hata nisipopata kazi niuiyosomea, elimu ni hazina kubwa kwangu. Kama ulisoma halafu ukawaza kupigwa kiyoyozi huku ukisubiri 3M mwisho wa mwezi ndo tatizo hilo..
Pamoja na kua sina kazi ya kueleweka na wala sio ya nilichosomea ila bado nataka kusoma zaidi. Sijutii kusoma hata nisipopata kazi niuiyosomea, elimu ni hazina kubwa kwangu. Kama ulisoma halafu ukawaza kupigwa kiyoyozi huku ukisubiri 3M mwisho wa mwezi ndo tatizo hilo..
The Knowledge Seeker JF-Expert Member Joined Apr 13, 2019 Posts 4,214 Reaction score 6,348 Sep 17, 2023 #43 lee jack said: Mkuu mbona kitabu kina page tatu tuu Click to expand... Umekisoma lakini au umeangalia page zipo ngapi
lee jack said: Mkuu mbona kitabu kina page tatu tuu Click to expand... Umekisoma lakini au umeangalia page zipo ngapi
Jobless_Billionaire JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 3,903 Reaction score 9,915 Sep 17, 2023 #44 The Knowledge Seeker said: Umekisoma lakini au umeangalia page zipo ngapi Click to expand... Mtumie na pdf ya dictionary maana lugha inamchanganya
The Knowledge Seeker said: Umekisoma lakini au umeangalia page zipo ngapi Click to expand... Mtumie na pdf ya dictionary maana lugha inamchanganya