Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,271
Hapana, nielewesheWe mrembo employers Portal unaielewa
Hapana, nielewesheWe mrembo employers Portal unaielewa
Nakuelewa vizuri dear vizuri mnooo!! Mpe muda na mbadilishe taratibu!!🤣🤣Kwa bahati mbaya ulichokiedit nimeshakisoma 🤣🤣.
My love maisha haya…
Heee![]()
Nitakuja kwako nikueleweshe
Makandokando mengi sio poaaa wa vipaji!!Basi kazi imeisha, hiyo ndio ilikuwa hoja yangu🤣
😂😂😂😂😂Atakuwa amekumbana na furushi prof![]()
Amen BL.Wabheja sana mkuu! Holiday Ndio inaisha hivooo nimeinjoy sio kidogo rafiki!!
Mama E loves you alot afu katulia hanaga mambo mengi kabisa nampenda yuko straight hakwepeshi akiona upuuzi wala hapendi kucheka na nyani!
Mfikishie salamu Zangu nampenda na kumkubali mnooo![]()


Ili akili isichokeHeee
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani wewe..
Ngoja nimuite S amzibue huyo erroni maana anapuyanga sana🤣🤣
Ili akili isichoke
Kapi tena prof?
Ngoja apambane.
Sasa prof kale kampango ketu kanakuwaje?
Hakuna asiyekuwa na makandokando, hiyo ni sehemu ya maisha. Swali ni je, yanavumilika?Makandokando mengi sio poaaa wa vipaji!!
S ndio nani tena jamani?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani wewe..
Ngoja nimuite S amzibue huyo erroni maana anapuyanga sana🤣🤣