Umekamatika yatosha hayo mengine yachukukulie kibinadamu tu taratibu mtayaweka sawa!Bhana weee nimekamatika na mtoto wa mama mkwe
😎😎😎Umekamatika yatosha hayo mengine yachukukulie kibinadamu tu taratibu mtayaweka sawa!
Shukuru Mungu itakua Umemkuta mpole nahisi!!Si kila kitu ni cha kutoka kirahisi.kukaza muhimu😎
Asante BL. Ngoja nikutakie mwaka mpya wenye heri, amani na mafanikio tele pamoja na vimalaika vyako; na wapendwa wako wote.Mimi nakusamilia tu mkuu baba yake Chakorii!
Samaleko![]()



Unafaa kuwa ka mpango kangu ka kandoShukuru Mungu itakua Umemkuta mpole nahisi!!
Haya umemkazia still unalaumu hapa au ndio keshakoma hivoo??!!
Acha mambo yenu niwaachie wenyewe japo too much makandokando sio poaaa!!
HeheeeYes asilimia mia sijakosea…lakini unamakando kando mengi(nayajua )na yananiumiza.
HujamtagUnafikiri nini kinamiss mama
Atakuwa amekumbana na furushi profChakorii uzi bado haujakamilika bwana![]()



KabisaaPenda unapopendwa usilazimishe kupenda usipopendwa
Basi kazi imeisha, hiyo ndio ilikuwa hoja yangu🤣Anajijua na ujumbe keshausoma mbona sema unataka kumjua tu😁!
Kabisa mkuuUkijifunza kupenda pale unapopendwa hutakua na stress, na utafirahia maisha ya mahusiano, simaanishi drama hazitakuwepo Ila ni tofauti na pale ambapo hupendwi
Wabheja sana mkuu! Holiday Ndio inaisha hivooo nimeinjoy sio kidogo rafiki!!Asante BL. Ngoja nikutakie mwaka mpya wenye heri, amani na mafanikio tele pamoja na vimalaika vyako; na wapendwa wako wote.
Mama E anakusalimia sana. Jana tulikuwa tunakuzungumzia hapa. She admires you a lot...free spirit.
We love you BL![]()
We mrembo employers Portal unaielewaHeheee
Utakomaaaa
penda like hujui hizo za makando kando.