natamani niandike urithi

Usiandike jina la mama km mrithi! Andika kijana wako then mama yako atakuwa msimamizi. Kuondoa fitna vile vi2 alivyong'ang'ania huyo mwanamke achana navyo tena vimpe kwa maandishi kwamba atavichukua avi2nze kwa niaba ya mwanao,itaondoa mtafaruku ktk family hata ukifa leo, then tafta nyingne, Mungu ndie mpaji wa yote. Pole sn
 
Baba yako kamwandika mrithi mama yake? jiulize hilo kwanza, ujue wewe una family yako na macho na akili yako yote yawe kwenye family yako,kwa mfano watoto wako bado wana nguvu na bado wanahitaji kutoka kwako, mama yako keshaishi maisha yake na usikute sasa hivi anamkopa Mungu muda wa kuwa duniani, kumbuka sasa hivi life expectacy ni 48 kama sikosei, sasa unamwachia mali afanye nazo nini?Hapo utakuwa unakosea sana, Kumbuka ulipotoka na huyo mkeo mpaka mmefika hapo, halafu saa hizi unawaza kufanya kitu kama hicho looooo sijaona baba wa aina yako
 
rose kuna kitu nataka niweke wazi kabla hujaanza kunilaani,huyu mwanamke sio mke wangu,tumezaa lakini tuliishi pamoja kwa muda fulani tukaachana,mimi namwudumia mtoto tangu anazaliwa mpaka sasa hivi ana miaka 14,sababu kubwa iliyonifanye niwaze vile ni yule mwanamke kumilimiki mali tulizochuma tukiwa pamoja ikiwa ni pamoja ni kibanda kidogo nilichojenga kwenye uwanja wao kimakosa,
nimegundua yule mwanamke ni mtu mwenye tamaa sana ni ikitokea nikafa sasa hivi ndugu zangu na yeye itakuwa ni vita kali mno,yule mwanamke alishaolewa na anaishi na mume wake,nafikiri nimeeleweka wakuu!
Hapo umeeleweka ila kama mrithi bado atakuwa mwanao na ndugu zake kama wapo hiyo haikwepeki, chuki zako na mama yake bado hazimnyimi yeye kuwa na haki ya kurithi mali zako, kwanza embu nikuulize, una dalili za kufa hivi karibuni? una maradhi yanakusumbua? kwa nini unawaza negatively about you? huwezi jua what in store, unaweza ishi hao wote unaowataja wakatangulia kabla yako.....Na kumbuka hakuna kitu mtoto anakuja kukuchukia akiwa mkubwa kama akigundua ulimfanyia kitu kibaya utotoni, inaweza kuja kukucost sana kama Mungu atakuweka hai mpaka uzeeni na kuona mafanikio ya mwanao
 
okkk ..nw i get u
niliZan ni mkeo wa ndoa na unaishi nae tangu enziiiii na enzi..
bas fanya iv;HAINA HAJA YA KUMUHUKUMU NA MUNYIMA MTOTO WAKO STAHIKI YAKE KWA kuhofia mama yake atafaidika na mali izo..mpe mwanao urith wake..kwan ana miaka mingap?ata km ikiwa miwili stl ana hak ya kupewa ..

ulikosea kujenga kwenye kiwanja cha mkeo/cha kwao...mara nyng uwaga vna matatizo ikwemo kuonekana mwanaume hauna chako pale simply cz kiwanja akikuwa chako...na nadhan hasira zote juu ya mkeo zmetokana na kuchuklua/kumiliki kibanda ulichokijenga kwenye KIWANJA CHAO..SAMEHE NA SAHAU..move on na tenda hak kwa mwwanao..usilalie kwenye kosa ili bas ikawa ndo reference ya kila decision unayotaka kufanya juu ya mal unaangalia kesi iyo ya kuchukuliwa kibanda chako...

ebu angalia kaka..amekudhulumu kiwanja..je alikukata mikono?
je aukuweza kujenga kibanda kingne?
je aukuweza kupata na mali nyngne?


m sure umepata mali nyngne kibaooo na nyumba nzuriii ukajenga ..so wat n y uwaze /uwe na hasira bado juu ya kibanda kile..sahau bwan..kila kitu kina sababu sweetie..uwez jua mungu alilenga nini...WEWE SHUKURU KWA KILA JAMBO ILI MRAD NGUVU UNAZO ZA KUPATA VTU VNGNE BASI KESI IYO YA KIBANDA SAHAU

sometimess tunafanya makosa....lakin tusijute na kuyabeba makosa maisha yetu yote..we hav 2 foget na ku move on

pole sana lakin.


hapo akishindwa kuelewa itakuwa kazi
 
Mama na baba ndo Mungu wa duniani...naamini kama mama yako atakuwa na busara anaweza akatunza mali mpaka mtoto akawa mkubwa akizukuta mali zake... Kama mke umeona hafai hafai kweli.... Heri mama kuliko mke maana ataenda kuolewa tena kama bado afya inadai....Lakini kwanini unahofia afya yako kaka....kama hujapima usiwe na wasi utaishi hadi 2035
 
Usiandike jina la mama km mrithi! Andika kijana wako then mama yako atakuwa msimamizi. Kuondoa fitna vile vi2 alivyong'ang'ania huyo mwanamke achana navyo tena vimpe kwa maandishi kwamba atavichukua avi2nze kwa niaba ya mwanao,itaondoa mtafaruku ktk family hata ukifa leo, then tafta nyingne, Mungu ndie mpaji wa yote. Pole sn

asante
 
Baba yako kamwandika mrithi mama yake? jiulize hilo kwanza, ujue wewe una family yako na macho na akili yako yote yawe kwenye family yako,kwa mfano watoto wako bado wana nguvu na bado wanahitaji kutoka kwako, mama yako keshaishi maisha yake na usikute sasa hivi anamkopa Mungu muda wa kuwa duniani, kumbuka sasa hivi life expectacy ni 48 kama sikosei, sasa unamwachia mali afanye nazo nini?Hapo utakuwa unakosea sana, Kumbuka ulipotoka na huyo mkeo mpaka mmefika hapo, halafu saa hizi unawaza kufanya kitu kama hicho looooo sijaona baba wa aina yako

baba yantgu hakuandika urithi kwa kuwa mali zilikuwa za kimila
 
Back
Top Bottom