Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Usiandike jina la mama km mrithi! Andika kijana wako then mama yako atakuwa msimamizi. Kuondoa fitna vile vi2 alivyong'ang'ania huyo mwanamke achana navyo tena vimpe kwa maandishi kwamba atavichukua avi2nze kwa niaba ya mwanao,itaondoa mtafaruku ktk family hata ukifa leo, then tafta nyingne, Mungu ndie mpaji wa yote. Pole sn