Natamani maprofesa wetu wawe kama Prof. Lumumba

Natamani maprofesa wetu wawe kama Prof. Lumumba

S.N.Jilala

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2012
Posts
540
Reaction score
507
Prof.Lumumba kutoka Kenya,nilimsikiliza kwenye Kigoda cha MWL.Nyerere na leo nimemsilikiza vizuri. Jamaa naona anastahili kabisa kuitwa Prof.

Tuna maprofesa hapa lakini walio wengi wametekwa nyara kifikra na wanasiasa. Hawako huru kabisa,wanaogopa kusema ukweli.

Wakiongea baadhi yao mpaka unawaza kuwa kuitwa Profesa kaitwa kama sifa wanavyojiita wakina Prof.Jay,Majimarefu au?. Wako wapi magwiji kama wakina Prof. Chachage?.

Prof. Lumumba ukimsikiliza mpaka unavutiwa maana anaonyesha ukomavu wa hali ya juu kabisa katika changamoto za Bara la Afrika na utatuzi wake.

Mapungufu najua anayo, kama binadamu huwezi kuwa perfect,lakini nataka Ma-Prof. wetu watuonyeshe njia kwenye mambo magumu ya kitaifa. Wanatakiwa waseme ukweli hata kama watachukiwa na watawala kwani ndiyo kazi yao.
 
Prof.Lumumba kutoka Kenya,nilimsikiliza kwenye Kigoma cha MWL.Nyerere na leo nimemsilikiza vizuri. Jamaa naona anastahili kabisa kuitwa Prof.

Tuna Ma-Prof. hapa lakini walio wengi wametekwa nyara kifikra na wanasiasa. Hawako huru kabisa,wanaogopa kusema ukweli. Wakiongea baadhi yao mpaka unawaza kuwa kuitwa Prof.kaitwa kama sifa wanavyojiita wakina Prof.Jay,Majimarefu au?. Wako wapi magwiji kama wakina Prof. Chachage?.

Prof. Lumumba ukimsikiliza mpaka unavutiwa maana anaonyesha ukomavu wa hali ya juu kabisa katika changamoto za Bara la Afrika na utatuzi wake.

Mapungufu najua anayo, kama binadamu huwezi kuwa perfect,lakini nataka Ma-Prof. wetu watuonyeshe njia kwenye mambo magumu ya kitaifa. Wanatakiwa waseme ukweli hata kama watachukiwa na watawala kwani ndiyo kazi yao.

hapo red ndo nini?
 
Prof.Lumumba kutoka Kenya,nilimsikiliza kwenye Kigoma cha MWL.Nyerere na leo nimemsilikiza vizuri. Jamaa naona anastahili kabisa kuitwa Prof.

Tuna Ma-Prof. hapa lakini walio wengi wametekwa nyara kifikra na wanasiasa. Hawako huru kabisa,wanaogopa kusema ukweli. Wakiongea baadhi yao mpaka unawaza kuwa kuitwa Prof.kaitwa kama sifa wanavyojiita wakina Prof.Jay,Majimarefu au?. Wako wapi magwiji kama wakina Prof. Chachage?.

Prof. Lumumba ukimsikiliza mpaka unavutiwa maana anaonyesha ukomavu wa hali ya juu kabisa katika changamoto za Bara la Afrika na utatuzi wake.

Mapungufu najua anayo, kama binadamu huwezi kuwa perfect,lakini nataka Ma-Prof. wetu watuonyeshe njia kwenye mambo magumu ya kitaifa. Wanatakiwa waseme ukweli hata kama watachukiwa na watawala kwani ndiyo kazi yao.

Mkuu utasubiri sana kuwapata watu wa namna hii! Wengi tulifikiri prof Shivji sasa angalia huyo jamaa anakubali kununuliwa kwa sijui USD ngapi! Sasa kama ni hivyo wale wote the so called Dr's ambao theses zao zilisomwa na kusimamiwa na prof Shivji tuwaite ma Dr au vipi! Mkuu inasikitisha ila ni ukweli! Siku moja nimesafiri kwenye ndege kutoka Dar kwenda Mtwara, kulikuwepo na prof wa UDSM siju faculty ya sheria/uchumi, mkuu sikuamini utafikiri labda anaishi ktk dunia ya kipekee!! Lkn kumbe ni USANII TU hamna chochote! Wananunulika tu!!!
 
Maprofesa wetu akina Magembe ndo hao wanaitwa mizigo kwenye wizara zao kwa uzembe wa kushughulikia matatizo na kero za wananchi.
 
Kweli tatizo letu saaizi ni kukosa maadili na tamaa za kipuuzi. Mfano,kukubali kuchezewa elimu kuanzia shule ya msingi mpaka vyuoni. Ma Dr na Ma Prof. wetu nao wanatamani kuwa mabwenyenye tena kwa kutumia njia za hovyo kabisa. Tatizo kubwa lililopo ni kwamba,hatuamini katika haki ili kufanikisha mambo yetu. Ma. Dr. Ma Prof. Badala ya kuonyesha njia kwa sasa ndio wanaotupoteza. Wapo wachache wanajitaidi na lazima tuwapongeze tukiwaona wanafanya kama Prof.Lumumba.
 
Lipumba ana akili sana ana reasoning nzuri na anaongea kwa facts kweli ni prof nasikia ni mtaalamu wa uchumi ile mbaya
 
Ni Lumumba na siyo Lipumba hata watangazaji walikuwa wanakosea wanamwita Lipumba.
 
Hawa ma prof na wanao jiita ma dr ndo wanao angusha nchi hi kwa tamaa zao za kijinga cjui wanadhani watazikwa na pesa.Af sijui hawa ma prof w2 baadhi yao wanapewaje huo u prof wng wao hawajui kujenga hoja kabsa yan cku hv wanaonekana kama katuni.mfano kuna prof moja leo kwny mdahalo alikua anatoa maoni yke yan pumba 2pu
 
Mkuu kwanza naomba umtake radhi Prof J kwa kumuweka level moja na Majimarefu Uprofesa wa J unaviwango vilivyothibitishwa katika Muziki tofauti na huyo Majimarefu mwizi wa fedha za walala hoi kupitia tunguli...

Anyway, hata huyo Lumumba angekuwa hapa bongo then awe shabiki wa maccm asingekuwa tofauti na kina Benson Bana, Shivji wa leo na wengineo. Hata hivyo bado Mungu katujalia Maprof kana Lipumba, Safari na Baregu hawa ni wasomi wachache wenye kuimudu njaa na kuishi ktk taaluma zao.

Tafadhari tumiza ombi langu la kumtaka radhi Prof J/MwanaMitulinga

BACK TANGANYIKA
 
Nakubaliana na hili la kuwa bongo maprof. wengi wametekwa nyara.Nakumbuka miaka ya nyuma ilikuwa nikiona habari ya Prof.Shivji mbio nakimbilia kusoma na kuona anasema nini.Hii ilikuwa hususan anapojikita kwenye masuala ya kikatiba na sheria.

Leo nimekuwa prof. wa mwanzo nisietaka kuona habari yake basi yeye ni wa mwanzo.Amekuwa akikana hata mawazo yake mwenywee kwenye vitabu !!
 
Back
Top Bottom