Habari zenu wanajukwaa pendwa la michezo JF,
Katika kipindi hiking ambacho team ya taifa ipo kambini kujiaandaa na mechi za kufuzu kombe la dunia nimepata wazo kama timu ya taifa inajumuisha wachezaji kutoka Tanganyika Na Zanzibar Kwa nini kusiwe Na ligi moja ya Tanzania?
Natamani kitokee Kwa kuwa kitakuwa na maslahi ya kusogeza soka letu Na kupunguza manung'uniko kutoka upande mmoja na Nina imani itakuwa ligi Bora
Ahsante.
Katika kipindi hiking ambacho team ya taifa ipo kambini kujiaandaa na mechi za kufuzu kombe la dunia nimepata wazo kama timu ya taifa inajumuisha wachezaji kutoka Tanganyika Na Zanzibar Kwa nini kusiwe Na ligi moja ya Tanzania?
Natamani kitokee Kwa kuwa kitakuwa na maslahi ya kusogeza soka letu Na kupunguza manung'uniko kutoka upande mmoja na Nina imani itakuwa ligi Bora
Ahsante.