King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Kwanza hongera sana, kwa kuona matatizo yako ya uchokoraa kama fursa na chachu ya kupambana na maisha na kupata elimu. Ushauri wangu ni kukomaa na shule. Ukiwa chuoni na kusettle kidogo tu, utapata mchumba ambae ni msomi mwenzio. Na mtasaidiana masomo pia. Hakikisha mapenzi hayapotezi ndoto yako ya kuwa na digirii.
Kila la kheri mwanangu.
Kila la kheri mwanangu.