Natamani kuwa na mpenzi

Natamani kuwa na mpenzi

ndugu pole sana, ila ukae ukijua kuwa wewe SIO MSHAMBA kama unavyofikiria na wala sio kwamba huna bahati wala nini. Nilichokiona kwako ni ujasiri ambao vijana wengi wa rika lako hawana, ni la kuamua kuhangaika na shule na kuachana na mambo ya wadada. Hongera sana! Ninachokushauri ni kukomaa na shule, jenga maisha yako kwanza, hayo mambo ya mapenzi yatakuja automatically ,na wala usiwe desperate kutafuta mpenzi maana unaweza kukwaa maradhi ndugu kwa kuwa ulishajitunza muda wote huo uje kuharibu sasa? NO! Muombe M/Mungu akujaalie mke mwema, na kwa sasa akujaalie ufanikiwe katika masomo yako na malengo yako yote yatatimia Inshaallah!

sante!
 
Cha kufanya ni Wewe jitahidi tu kuwa mtu mwema akiishi maisha mema badala ya kutafuta Mpenzi mwema kwani ukiwa hivyo utawavuta wenye sifa kama zako. Alafu unataka mchumba mwema au mke mwema
 
Last edited by a moderator:
Hongera zako nyingi sana Mkuu mpaka hapo ulipofikia. Story yako imenigusa mno...Hongera zako nyingi sana.



Imesalia miaka kadhaa hivi niwe na miaka thelathini,lkn sijui ni ushamba au ni matatizo yaliyo kithiri kiasi cha kushindwa kuwa na histori ya kuwa mpenzi hadi sasa,lakini kwa sasa nina hamu kubwa ya kuwa na mpenz. Kimsingi nimekulia mtaani kama chokoraa lakini nikawa na mtazamo tofauti na na watoto wengine wanao kulia mtaani fikra zangu zote ni kwamba niwe msomi hivyo nguvu na akili yangu yote ilikuwa nikutafuta namna ya kupata elimu rasmi, nimefanikiwa kuhusu hilo nimemaliza 4m 6 mwaka huu na nimefaulu natafuta mtu jinsia ke' wakuni sifia ninapofanya vizuri na kunitia moyo pale changamoto zinapo kua nyingi 'SINA NDUGU RASMI' ukihis tunaweza kusonga na haya maisha niujuze kwa namba hii
 
Last edited by a moderator:
Naomba kueleweshwa kidogo endapo me sijui au ni system ya siku hizi, kuna mahali umesema unaendea 30's'then hapo hapo mwishoni umesema kwamba umemaliza form six mwaka huu hapo sijaelewa vizuri hapo au kuna form 6 za watu wakubwa siku hizi ambazo ni vyuo vya watu binafsi??

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Enhe, majanga unaweza tafuta tiba kumbe unatafuta maradhi mengine ya moyo
 
DU matangazo ya namna hii yamekuwa mengi mno humu ndani , nakushauri uyapeleke makanisani au misikitini ikibidi hata vituo vya mabasi.
heee hee heeeeeeeeeeee.

Ayaaa!! Msikitini na kanisani tena!???
 
Back
Top Bottom