Natamani kusikia CHADEMA imefutwa nchini

Natamani kusikia CHADEMA imefutwa nchini

Sawa chawa ndo unafikir mamaduro atakua na amani mkifuta? Damu hii itamlilia hadi anazikwa whether chadema imefutwa au haijafutwa! Hamna shortcut
 
Chadema hawajui hata maana ya ideology
Wewe ni punguani kabisa, duniani kila mtu ana kitu anachokiamini na kukisimamia, hata wewe jinga, na hiyo ndiyo ideology, hata nikiitamka kwa lugha usiyoifahamu ila haiondoi ukweli kuwa kila mtu anayo, grow up fool.
 
Mkuu upo sahihi ila kwa dunia tuliyopo kuifuta CHADEMA italeta shida zaidi. Kidiplomasia haiko sawa. Mfumo wa demokrasia wa mabeberu unatubana. Ni bora kuendelea kuwadhibiti kijanja ili tusije kuharibu uchumi wa nchi.
 
Ataanza kufutika mamako, kenge maji. Muulize Magu alijiapiza nn na nn kimetokea.
 
Back
Top Bottom