Natamani kusikia CHADEMA imefutwa nchini

Natamani kusikia CHADEMA imefutwa nchini

Wazo na ushauri na maoni yako ni ya kijinga, kama ungeshauri vyama vyote vifutwe kibaki chama kimoja tu ungeeleweka vema
 
Unatamani kusikia CHADEMA imefutwa wakati bado unahangaika na deductions za $20 zinakutoa jasho kutoka chama cha walimu , mwalimu Kimbesa.

Pambaneni mpate reforms muwe na vyama imara vya walimu sio kutegemea huruma za CCM na mwenyekiti wake ndio maana mnakuwa toilet paper kuwasaidia kuiba kura kila mwaka.

Mmeigeuza taaluna ya ualimu kuwa ya ajabu wakati ni taaluma ya kuheshimika duniani.
 
Back
Top Bottom