Think
Member
- Jul 27, 2012
- 71
- 1
kupenda kunahitaji moyo hasa unapokuwa umependa kweli na umependwa kweli, lakini ni vigumu kujuwa napendwa au sipendwi. wengi wanasema love is money but kwangu love is the way you can handle your lover, BUT unaweza kuwa na pesa lkn usipendwe.
mwanamke au mwanaume hupenda nini ktk mapenzi? je maumbile ya mwili au shughuli on bed?
natamani kupenda lakini nahisi nikipenda ntalaumiwa labda sijui jinsi ya kupenda au sina pesa kama wengi wadhanivyo au.....
nishauri unavyojuwa kuhusu kupenda au kupendwa PLEASE
mwanamke au mwanaume hupenda nini ktk mapenzi? je maumbile ya mwili au shughuli on bed?
natamani kupenda lakini nahisi nikipenda ntalaumiwa labda sijui jinsi ya kupenda au sina pesa kama wengi wadhanivyo au.....
nishauri unavyojuwa kuhusu kupenda au kupendwa PLEASE