mzalendo.com
JF-Expert Member
- Aug 2, 2015
- 427
- 301
Mie nimefunga mjadala mtajuana wenyewe huko na majeshi yenu ila nilichojifunza kwenu bado mna utoto mwingi kwenye majukumu yenu,tunzeni siri zenu.
Unaowachukia Leo hao kesho utaenda kufungua kesi kwao .
Kubali mumetofautiana majukumu ktk utendaji wenu.
Heshimu kazi za wenzenu.
Kesho mtawatukana walimu ili hali wamewatoa ujinga.
Shirikianeni mjengi nchi .!!!!
Unaowachukia Leo hao kesho utaenda kufungua kesi kwao .
Kubali mumetofautiana majukumu ktk utendaji wenu.
Heshimu kazi za wenzenu.
Kesho mtawatukana walimu ili hali wamewatoa ujinga.
Shirikianeni mjengi nchi .!!!!