Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,038
- 74,438
Salaam;
Kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sura ya tisa, ibara ya 147, kifungu kidogo cha (4).
Tanzania ina majeshi manne ambayo ni:
1. Jeshi la Ulinzi
2. Jeshi la Polisi
3. Jeshi la Magereza
4. Jeshi la kujenga taifa.
Sasa kwanini kwenye Peacekeeping waende Jeshi la Ulinzi pekee yao wakati tuna majeshi mengi hapa nchini? Natamani walau siku moja nije nione au kusikia Kuna kikosi cha jeshi la polisi kimekwenda Congo au Sudan kwa ajili ya Peacekeeping au kusikia kuna Contigent ya jeshi la polisi ipo Sudan.
Kwa maana polisi nao ni jeshi la polisi na inatambulika duniani kote kuwa Tanzania kuna jeshi la polisi. Au nyie mnaonaje? Kwenu wadau.
Cc popoma03
Saguda47
Kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sura ya tisa, ibara ya 147, kifungu kidogo cha (4).
Tanzania ina majeshi manne ambayo ni:
1. Jeshi la Ulinzi
2. Jeshi la Polisi
3. Jeshi la Magereza
4. Jeshi la kujenga taifa.
Sasa kwanini kwenye Peacekeeping waende Jeshi la Ulinzi pekee yao wakati tuna majeshi mengi hapa nchini? Natamani walau siku moja nije nione au kusikia Kuna kikosi cha jeshi la polisi kimekwenda Congo au Sudan kwa ajili ya Peacekeeping au kusikia kuna Contigent ya jeshi la polisi ipo Sudan.
Kwa maana polisi nao ni jeshi la polisi na inatambulika duniani kote kuwa Tanzania kuna jeshi la polisi. Au nyie mnaonaje? Kwenu wadau.
Cc popoma03
Saguda47