Unamaanisha nini??
Vipi mama yako Malinda yake bado yapo titeNaskia wazungu wakioa mweusi chakwanza huwa ni kupiga Kabaang! So unaowajua wote wameolewa na wazungu wanavaa nepi maana marinda yote kushiney!
Nlichataka kuandika hapa nintaitwa mbaguzi wacha tu niseme hao watu mimi siwezi kuolewa nao hata iweje..never
mi muhindi vp hunitaki?
Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
Jamani mwenzenu natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!
nasikiaga wenyewe wana mapenzi ya dhati,wakikupenda
wamependa labda ushindwe mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ila mzungu mwenyewe awe na hela,dhiki nilizonazo zinanitosha.
watu wanasemaga wengi wao wana Vi.bamia ila mi nataka kuolewa
hivyo hivyo hayo mengine yatajulikana mgele kwa mbele.....,
sijui Natalia amejifichia wapi labda angeweza kuniambia ukweli ni upi.....
kama kuna mzungu yoyote hapa JF naakaona hili bandiko jamani
Heaven on earth natamani kuwa
Wala sikushauri ndugu yangu. Mwombe Mungu akupe Mume mtanzania au east afrika usiende mbali ya hapo. Nina sababu nzito ya kusema haya.
sema hizo sababu nizijue........