Natamani kuolewa na mzungu

Natamani kuolewa na mzungu

Bree ven

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
375
Reaction score
367
Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!
 
Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!
Mbona unaleta dhihaka za ajabu ajabu hapa JF.

Unataka mzungu wa kukuoa au wakufanya mapenzi na wewe?

Umeshaolewa na kuachika waafrika wangapi mpaka sasa?

Unafikiri Mzungu ana nini cha ajabu ambacho unakikosa kwa waafrika?

Moja ya tofauti kuwa kati ya mwafrika na Mzungu 'kimaumbile' ni Kutahiriwa.
Most African men have been Circumcised while White men not. Ndicho unachotaka?
 
MV5BNjg4OTE5ODAzM15BMl5BanBnXkFtZTcwODY4NTMzMQ@@._V1_SY317_CR5,0,214,317_.jpg


Mzungu kama huyu vipi?
 
sifikiri kama uko tayari kwani wazungu wana swinger sijui utakuwa uko tayari? unagegedwa na jamaa mwengine na mume wako anagegeda mama mwengine mbele yako halafu mnakwenda nyumbani pamoja mkielezana

fikiri tena mapenzi sio lazima wazungu kwani na wao pia kuna wababaishaji kuliko hapa bongo

Kama tu unahitaji kugegedwa na mzungu hilo litakuwa suala jengine na badilisha heading sema unahitaji kugegedwa na mzungu
 
Wasiliana na Mange, yeye ndio agent wa wazunguphiliacs.

Btw angalia kwanza takwimu za divorce za wazungu ili ujiulize kulikoni ndoa zinavinjika kama jamaa wako excellent...
 
Kama unatafuta mzungu sababu umechoka kutapeliwa basi unaweza kua disapointed maana matapeli ni kote kote. Just like kua faithful sio exclusivity ya wazungu kua unfaithful sio exclusivity ya watu weusi.
Maybe unawaona weusi matapeli sababu unaishi nao wengi na umejoonea baadhi yao wakitapeli. Ukiishi na wazungu na ukawachunguza utajionea pia. Na mbona hujataja mhindi au mchina? Wenyewe nao matapeli?
Kama unataka mzungu sababu unahisi kuvutiwa na wazungu (kwa maana ya kwamba kua mzungu tu tayari amesha fanya nusu ya safari) basi try to hang out where most of them do hapo I
Unapo ishi.
Ikibidi nenda specialised sites kama meetics na zingine, make it clear unataka mzungu.
Good luck
 
Mzungu testi yake ya kwanza kwako anampa mbwa una duu naye je utaweza hilo?

Sent from my BlackBerry 9800 using Jamie's
 
Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!
Umekutana na wangapi mpaka uamue kuhamia airtel?
 
Kama unatafuta mzungu sababu umechoka kutapeliwa basi unaweza kua disapointed maana matapeli ni kote kote. Just like kua faithful sio exclusivity ya wazungu kua unfaithful sio exclusivity ya watu weusi.
Maybe unawaona weusi matapeli sababu unaishi nao wengi na umejoonea baadhi yao wakitapeli. Ukiishi na wazungu na ukawachunguza utajionea pia. Na mbona hujataja mhindi au mchina? Wenyewe nao matapeli?
Kama unataka mzungu sababu unahisi kuvutiwa na wazungu (kwa maana ya kwamba kua mzungu tu tayari amesha fanya nusu ya safari) basi try to hang out where most of them do hapo I
Unapo ishi.
Ikibidi nenda specialised sites kama meetics na zingine, make it clear unataka mzungu.
Good luck
hehehehhh!mapenzi ya kihindi au kichina.nadhani ajaribu hapa.isitoshe wahindi ndiyo hawatamsumbua sana, wanashinda dukani huku wanakula tambuu.
 
Fikiria mara mbilimbili usikurupuke!! Uko tayari kutoa kabaang maana wenzetu siku hizi huo ndiyo ustaarabu wao.
 
Haaaaaa miafrika bana mwacheni mwenzenu ale kitu roho inapenda mipovu imewatokaaa kisa mmeambiwa ukweli,eti utaliwa kabang kweni weusi hawatumii kabang?wangapi wanalia kwenye ndoa kwa kulazimishwa kabang?
 
Jamani nahisi nimechoka na hawa wa2 weusi, baadhi ya waafrica 2mezidi jamani kutapeliana kimapenzi, angalau wenze2 wazungu ubabaishaji si sana.. nahisi nikikosa kuolewa na mzungu nitakaa single tu.. labda atokee mwafrica mwenye uzungu qualifications nimechoka na unafiki wa wa2 weusiiii.. hata mi ni mweusi japo kua lakin sina mambo hayooo.. am tired!!!

Wenzako waliotangulia huko kwa wazungu kuna waliokutana na vibamia, kutwa wanashinda kutafuta mipingo yetu, huko wako kwa status tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom