Natamani kuoa, lakini

We unataka mwenye sifa zote hizo unataka kuanzisha chama cha siasa au lengo ni nini hasa.
 

Mi nashindwa kwa sababu natafuta shabiki wa mpira wa miguu haswa anayeipenda CHELSEA FC
 
that's great thread for me, mkuu mawazo yako na yangu yako sawa kabisa,
sio una owa mtu stors zake ni mapenz, muzik, kusema watu, stors za kina Wema na kusoma pagazeti ya udaku,
licha ya uwaminifu na usomi, kuna vitu vingi sana vya ziada mwanamke ana takiwa kuwa navyo.

kwa upande wangu mwanamke anarekebishika na ana badilika, unaweza ukawa na asie juwa hivyo vitu na ukamfanya avijuwe tena kwa mda mfu tu...

mfano Salma kikwete hakuwa mwana ccm wala hakuwa mwana siasa, hata Mama maria Nyerere hakuwa mwanaharakati, lakini wameweza kubadilishwa.
Hata wake za wachungaji wakubwa kama Gamanywa, Gwajima hawakuwa wapendwa ila sasa niwapendwa.

Mfano binabsi, Mm ni shabiki wa Man u, huwa naendaga kuwatch au huwa nawatch sana game za Man U na mchuchu wangu, nae amejikuta anaipenda Man u.
 
Jitazame kwanza wewe mwenyewe unasifa hizo usitake vizuri wakati wewe ni muozo na sifa za mwanamke huwezi kuzijua kabla ya kumuweka ndani mke mwema hupata mume mwema mshirikishe mungu jambo la ndoa halina uprofesa hata maprofesa huingia chakani pia na elimu yao mapenzi kitu kingine subiri sana
 
bac uolewe wew,
izo sifa zote izo wew mwenyewe unazo????
alafu umeona wapi, mke pia awe mtafutaji???? ili iweje?? akusaidie??
 

Rudia kusoma mada uielewe usikurupuke tu kujibu.
 

Asante bro,nashukuru kwa ushauri wako mkuu. Itanibidi nibadili mtazamo wangu kidogo.
 

Shukrani sana mkuu. Point taken. Mawazo kama haya ndio nataka.
 
Wille ni jina la kiume, nina mchumba nitaoa sio mda..
Tuwapende hivihivi taratibu wanafaa, kikubwa watatuletea na watoto na ni wasaidizi wetu tuu, they cant be like us, they are women.. Is that understood!!

understood sir. Thanks mkuu nimeelewa point yako,asante sana.
 
Sioni ubaya kwa sifa hizo upendazo, ingawa tunasema viwango ni ubora na muda, tafuta mwanamke bora tumia muda then set your own standard.

Kila kitu kinawezekana ingawa vingine utakuja vifikia kwenye umri wa uajuza.

Muombe Mungu utafanikiwa mkuu.
 
Wanawake kweli tuna kazi....yani anatakiwa ajue yote hayo plus kupika,kufua,kukata mauno.....pamoja na mishemishe zote hizo plus zile za kazini bado unataka akirudi nyumbani jioni au wikiend mjadili siasa,teknolojia na sheria...!! Samahani kwa kweli


Usisahau kujifunza ufundi gari, bomba, vitasa na kila kitu! Bado uzae na ulee!
 

wewe mwenyewe unajua falsafa ya kitu gani kati ya hayo uliyoyaorodhesha na kwa kiwango gani?

mnaotaka kulelewa mna matatizo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…