mchagua nazi??????????
vigezo stahiki mnavyovitaka ndio vipi
Unajiwekea standard za juu sana ambazo hutaweza kuzipata kirahisi. Kifupi unajitengenezea matatizo mwenyewe.
Fikiria kuoa kwa msingi wa kuoa sio kupata forums za kisiasa, kichumi, sayansi, saikolojia, technolojia n.k. Interests are never universal bro. Mwanamke ana priorities zake na mwanaume ana priorities zake..
unaweza kupata mwenye vyote hivyo vya kisiasa lakini akawa na mengine ambayo yanakunyima hata hamu ya kukaa nyumbani au hata kumsemesha kwa lolote.
Jitafakari upya mkuu, pungua matarajio yako
Natamani sana kuoa lakini sioi kwa sababu aina ya wanawake naotaka hawapo au wote wameolewa.
Ukiacha sifa za kwanza za mke mfano awe na upendo, mzuri, mvumilivu, mtafutaji, muelewa nk.
Mimi nataka mwanamke mwenye sifa za ziada kidogo maana sifa hizo hapo juu sehemu kubwa ya wanawake wanazo.
Nataka mwanamke mwenye ufaham wa wastani au zaidi wa mambo mengi mfano uchumi, sheria, tekinolojia, sayansi, siasa, dini, falsafa.
Mwanamke anaeweza kujenga hoja, kupambanua mambo mengi vizuri.
Mwanamke anaejua muziki, filamu na mapenzi tu simtaki, hanifai.
Mabinti wengi wa siku hizi wanajua mapenzi, filamu na muziki, mambo mengine hawajui na hawataki kujua, ukileta hoja nje ya hayo anayoyajua atabakia kuitikia tu "ndio mzee" maana hajui.
Wanawake wa ndio mzee mimi siwataki.
Hicho ndio kinasababisha nashindwa kuoa ingawa natamani. Wewe kwa nini huoi, huolewi. (najua kuoa au kuolewa sio lazima)
lara 1 anakuhusu.Natamani sana kuoa lakini sioi kwa sababu aina ya wanawake naotaka hawapo au wote wameolewa.
Ukiacha sifa za kwanza za mke mfano awe na upendo, mzuri, mvumilivu, mtafutaji, muelewa nk.
Mimi nataka mwanamke mwenye sifa za ziada kidogo maana sifa hizo hapo juu sehemu kubwa ya wanawake wanazo.
Nataka mwanamke mwenye ufaham wa wastani au zaidi wa mambo mengi mfano uchumi, sheria, tekinolojia, sayansi, siasa, dini, falsafa.
Mwanamke anaeweza kujenga hoja, kupambanua mambo mengi vizuri.
Mwanamke anaejua muziki, filamu na mapenzi tu simtaki, hanifai.
Mabinti wengi wa siku hizi wanajua mapenzi, filamu na muziki, mambo mengine hawajui na hawataki kujua, ukileta hoja nje ya hayo anayoyajua atabakia kuitikia tu "ndio mzee" maana hajui.
Wanawake wa ndio mzee mimi siwataki.
Hicho ndio kinasababisha nashindwa kuoa ingawa natamani. Wewe kwa nini huoi, huolewi. (najua kuoa au kuolewa sio lazima)
Mkuu kutokana na michango yako...ama kwa hakika unaitendea haki avatar yako.....THUMB UPUnajiwekea standard za juu sana ambazo hutaweza kuzipata kirahisi. Kifupi unajitengenezea matatizo mwenyewe.
Fikiria kuoa kwa msingi wa kuoa sio kupata forums za kisiasa, kichumi, sayansi, saikolojia, technolojia n.k. Interests are never universal bro. Mwanamke ana priorities zake na mwanaume ana priorities zake..
unaweza kupata mwenye vyote hivyo vya kisiasa lakini akawa na mengine ambayo yanakunyima hata hamu ya kukaa nyumbani au hata kumsemesha kwa lolote.
Jitafakari upya mkuu, pungua matarajio yako
Huenda na wewe usiwe na sifa zote anazohitaji mwanamke.
Unajiwekea standard za juu sana ambazo hutaweza kuzipata kirahisi. Kifupi unajitengenezea matatizo mwenyewe.
Fikiria kuoa kwa msingi wa kuoa sio kupata forums za kisiasa, kichumi, sayansi, saikolojia, technolojia n.k. Interests are never universal bro. Mwanamke ana priorities zake na mwanaume ana priorities zake..
unaweza kupata mwenye vyote hivyo vya kisiasa lakini akawa na mengine ambayo yanakunyima hata hamu ya kukaa nyumbani au hata kumsemesha kwa lolote.
Jitafakari upya mkuu, pungua matarajio yako
Unajiwekea standard za juu sana ambazo hutaweza kuzipata kirahisi. Kifupi unajitengenezea matatizo mwenyewe.
Fikiria kuoa kwa msingi wa kuoa sio kupata forums za kisiasa, kichumi, sayansi, saikolojia, technolojia n.k. Interests are never universal bro. Mwanamke ana priorities zake na mwanaume ana priorities zake..
unaweza kupata mwenye vyote hivyo vya kisiasa lakini akawa na mengine ambayo yanakunyima hata hamu ya kukaa nyumbani au hata kumsemesha kwa lolote.
Jitafakari upya mkuu, pungua matarajio yako
Mkuu kutokana na michango yako...ama kwa hakika unaitendea haki avatar yako.....THUMB UP
Sawa mkuu. Sema unakutana na binti akademikale yuko vizuri,aliscore single digit level zote za sekondari,chuo ana gpa nzuri tatizo linakuja hajui kingine chochote zaidi ya taaluma yake. Ni kazi kwa kweli.
Majani hayahitaji ng'ombe kuishi bali ng'ombe huhitaji majani kuishi.
Hii thread ya mtu ambaye hana reality ya maisha. Labda muoaji kama ana uwezo wa kuumba mwanamke anayemtaka. Mbali na hapo futa suala la kuoa katika maisha yako.
kwa hiyo tuanze kwenda training za dini philosophy , sheria aisee kazi ipo unaanzaje kujadili siasa na mkeo mwishowe mtoboane macho