Natamani kuoa, lakini

Natamani kuoa, lakini

vile vigezo vyetu vile sidhani kama tunafanana kama wewe n boy muulize gal wako akuambie huwez pata mwanaume et ana kila aina ya sifa unayotaka n uongo mtupu vingine unaviongezea wewe na kuvipunguza wewe mwenyewe
vigezo stahiki mnavyovitaka ndio vipi
 
Unajiwekea standard za juu sana ambazo hutaweza kuzipata kirahisi. Kifupi unajitengenezea matatizo mwenyewe.

Fikiria kuoa kwa msingi wa kuoa sio kupata forums za kisiasa, kichumi, sayansi, saikolojia, technolojia n.k. Interests are never universal bro. Mwanamke ana priorities zake na mwanaume ana priorities zake..

unaweza kupata mwenye vyote hivyo vya kisiasa lakini akawa na mengine ambayo yanakunyima hata hamu ya kukaa nyumbani au hata kumsemesha kwa lolote.

Jitafakari upya mkuu, pungua matarajio yako

Vizuri sana mkuu. Ndio maana nimeweka wazi la moyoni hapa ili watu kama wewe wanipe mawazo. Nashukuru kwa ushauri wako mkuu.
 
Huenda na wewe usiwe na sifa zote anazohitaji mwanamke.
 
Natamani sana kuoa lakini sioi kwa sababu aina ya wanawake naotaka hawapo au wote wameolewa.

Ukiacha sifa za kwanza za mke mfano awe na upendo, mzuri, mvumilivu, mtafutaji, muelewa nk.

Mimi nataka mwanamke mwenye sifa za ziada kidogo maana sifa hizo hapo juu sehemu kubwa ya wanawake wanazo.

Nataka mwanamke mwenye ufaham wa wastani au zaidi wa mambo mengi mfano uchumi, sheria, tekinolojia, sayansi, siasa, dini, falsafa.

Mwanamke anaeweza kujenga hoja, kupambanua mambo mengi vizuri.

Mwanamke anaejua muziki, filamu na mapenzi tu simtaki, hanifai.

Mabinti wengi wa siku hizi wanajua mapenzi, filamu na muziki, mambo mengine hawajui na hawataki kujua, ukileta hoja nje ya hayo anayoyajua atabakia kuitikia tu "ndio mzee" maana hajui.

Wanawake wa ndio mzee mimi siwataki.

Hicho ndio kinasababisha nashindwa kuoa ingawa natamani. Wewe kwa nini huoi, huolewi. (najua kuoa au kuolewa sio lazima)

Mwanamke asipokamilika hapo, utachepuka tu.................
 
As long as your not Mr right, expect a human being, not someone perfect (Ms right). No one is going to be everything u have ever dreamt of. Tafuta angalau unayeona anamit some of vigezo vyako vya muhimu zaidi, mengine mtafundishana kadri muda unavyozidi kwenda.
 
Natamani sana kuoa lakini sioi kwa sababu aina ya wanawake naotaka hawapo au wote wameolewa.

Ukiacha sifa za kwanza za mke mfano awe na upendo, mzuri, mvumilivu, mtafutaji, muelewa nk.

Mimi nataka mwanamke mwenye sifa za ziada kidogo maana sifa hizo hapo juu sehemu kubwa ya wanawake wanazo.

Nataka mwanamke mwenye ufaham wa wastani au zaidi wa mambo mengi mfano uchumi, sheria, tekinolojia, sayansi, siasa, dini, falsafa.

Mwanamke anaeweza kujenga hoja, kupambanua mambo mengi vizuri.

Mwanamke anaejua muziki, filamu na mapenzi tu simtaki, hanifai.

Mabinti wengi wa siku hizi wanajua mapenzi, filamu na muziki, mambo mengine hawajui na hawataki kujua, ukileta hoja nje ya hayo anayoyajua atabakia kuitikia tu "ndio mzee" maana hajui.

Wanawake wa ndio mzee mimi siwataki.

Hicho ndio kinasababisha nashindwa kuoa ingawa natamani. Wewe kwa nini huoi, huolewi. (najua kuoa au kuolewa sio lazima)
lara 1 anakuhusu.
 
Last edited by a moderator:
Unajiwekea standard za juu sana ambazo hutaweza kuzipata kirahisi. Kifupi unajitengenezea matatizo mwenyewe.

Fikiria kuoa kwa msingi wa kuoa sio kupata forums za kisiasa, kichumi, sayansi, saikolojia, technolojia n.k. Interests are never universal bro. Mwanamke ana priorities zake na mwanaume ana priorities zake..

unaweza kupata mwenye vyote hivyo vya kisiasa lakini akawa na mengine ambayo yanakunyima hata hamu ya kukaa nyumbani au hata kumsemesha kwa lolote.

Jitafakari upya mkuu, pungua matarajio yako
Mkuu kutokana na michango yako...ama kwa hakika unaitendea haki avatar yako.....THUMB UP
 
Unajiwekea standard za juu sana ambazo hutaweza kuzipata kirahisi. Kifupi unajitengenezea matatizo mwenyewe.

Fikiria kuoa kwa msingi wa kuoa sio kupata forums za kisiasa, kichumi, sayansi, saikolojia, technolojia n.k. Interests are never universal bro. Mwanamke ana priorities zake na mwanaume ana priorities zake..

unaweza kupata mwenye vyote hivyo vya kisiasa lakini akawa na mengine ambayo yanakunyima hata hamu ya kukaa nyumbani au hata kumsemesha kwa lolote.

Jitafakari upya mkuu, pungua matarajio yako

Well said mkuu!!
 
Unajiwekea standard za juu sana ambazo hutaweza kuzipata kirahisi. Kifupi unajitengenezea matatizo mwenyewe.

Fikiria kuoa kwa msingi wa kuoa sio kupata forums za kisiasa, kichumi, sayansi, saikolojia, technolojia n.k. Interests are never universal bro. Mwanamke ana priorities zake na mwanaume ana priorities zake..

unaweza kupata mwenye vyote hivyo vya kisiasa lakini akawa na mengine ambayo yanakunyima hata hamu ya kukaa nyumbani au hata kumsemesha kwa lolote.

Jitafakari upya mkuu, pungua matarajio yako

Aaaahh....shikamoo shem..
 
Sawa mkuu. Sema unakutana na binti akademikale yuko vizuri,aliscore single digit level zote za sekondari,chuo ana gpa nzuri tatizo linakuja hajui kingine chochote zaidi ya taaluma yake. Ni kazi kwa kweli.


Si ndio hayo unayoyataka.. Ajue sheria, siasa n.k
 
Majani hayahitaji ng'ombe kuishi bali ng'ombe huhitaji majani kuishi.

Hii thread ya mtu ambaye hana reality ya maisha. Labda muoaji kama ana uwezo wa kuumba mwanamke anayemtaka. Mbali na hapo futa suala la kuoa katika maisha yako.
 
Unaongea tu, tena wanaume wa aina yako ndo mwisho wa siku huwa wanaishia kuoa wanawake wa ajabu mpaka kila mtu anashangaa
 
Hii thread ya mtu ambaye hana reality ya maisha. Labda muoaji kama ana uwezo wa kuumba mwanamke anayemtaka. Mbali na hapo futa suala la kuoa katika maisha yako.

Soma mstari wa mwisho wa post yangu hapo juu iliyowekewa mabano.
 
kwa hiyo tuanze kwenda training za dini philosophy , sheria aisee kazi ipo unaanzaje kujadili siasa na mkeo mwishowe mtoboane macho

Hahahaa. Hapana,hizo siasa za kutoana macho ni siasa za walevi,wastaarabu hufanya siasa kwa hoja. Binafsi napenda mwanamke anaeweza kunipa changamoto kidogo,anajua jua vimambo,mbishi kidogo,asiekubali jambo kijinga jinga,asiefuata mkumbo. Lakini maoni ya watu hapa pia yanazingatiwa.
 
Back
Top Bottom