Natamani kuoa, lakini

Natamani kuoa, lakini

wewe mwenyewe unajua falsafa ya kitu gani kati ya hayo uliyoyaorodhesha na kwa kiwango gani?

mnaotaka kulelewa mna matatizo sana

Unajua maana ya falsafa au unakurupuka tu kukomenti. Nenda ukajisaidie kisha upande kitandani ulale mtoto mzuri.
 
Ndugu,,
Kichwa Ndio Mtu

tunarekebishana tofauti zetu na kujenga vile tunavyofanana ndani ya mapenzi.

Huwezi mpata unayetaka awe kama mawazo yako.

Labda ujizae.
 
Last edited by a moderator:
hicho ulichoongea ni kwa mujibu wa nafsi yako ila sasa hivi huwez kupata mwanamke ana sifa zote unazotaka hata nyie boys hatuwez wapata wote wenye vigezo stahiki tunavyovihitaji ukitaka umpate wa hivyo maybe uumbe wako mwenyewe

sisi wanaume kuoa ni maamuzi,ila nyie wanawake kuolewa ni bahati...............
 
Nikweli mleta mada bhana!mijanamke mingi siku hizi kiburi nahaitaki kwenda nadunia inavyoenda huku ikibaki kuheshimu waume zao!hata mm nimeongeza umri wakuoa ikishindikana sioi kabisa!!!!!!!maana hawa wanawake nishidaaaaa.
 
1.Kutamani ni dhambi.
2.Sifa za mwanamke wa kuoa hazitafutwi kama pesa,
bali zinatengenezwa pole pole.
3.Yawezekana labda wewe ndio tatizo,rejea neno "lakini" kwenye uzi wako na si lazima
sana kuoa au kuolewa ingawa ni jambo lililo jema na la kupendeza na lenye baraka.
4.Wakati mwingine usipende kuchagua chagua na kubagua bagua wanawake
kwani muda ndio hivyo unazidi unakwenda.
5.Ni vyema ukafumba macho na kufanya uamuzi sahihi sasa na kama ukishindwa
ni bora ukawa mvumilivu kwani ndoa ni mpango wa Mungu.
6.Jitahidi sana kuwa mcha Mungu na ipo siku utampata aliye kwenye ndoto zako,vivyo
hivyo ndivyo ilivyo kwa upande wa mwenzi wako mtarajiwa.
7.Na ukisha mpata ni wajibu wako kumtunza kwa hali na mali ili hatimaye kizazi na kizazi
kipate kuiga mfano ulio bora na wenye maadili mema yasiyo bagua au kuchagua chagua
wanawake au wanaume.

Ni hayo tu rafiki.
Nakutakia usiku mwema.
Asante.
 
Wewe nafikiri utakuwa na matatizo yako binafsi na wala siyo kwamba hupati wanawake wa sifa hizo. Swali dogo kwa mleta maada:-Je hizo sifa unazotaka mwanamke awe nazo wewe je unazo? TAFAKARI! CHUKUA HATUA.....
 
kichwa ndio mtu nashukuru umefahamu maisha ni zaidi ya malovi davi wenzako WANASEMA MWANAMKE MWENYE UWEZO WAKUPAMBANUA MAMBO ANAMKALIA WANATAKA NDIO MZEE. but nimegundua chamuhimu ni muheshimiane tu mtu ambaye hana ushauri wowote wa maendeleo simtaki
 
Back
Top Bottom