PARADIGM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2014
- 2,774
- 1,829
Soma mstari wa mwisho wa post yangu hapo juu iliyowekewa mabano.
Ndiyo maana nikasema itakuwa vigumu kama unafikiri unaweza kumpata mwenye vigezo vyote unavyotaka. Hata waliooa huwa wanaangalia vigezo viwili au vitatu ambavyo huwezi kuvifumbia macho na vingine ni either kurekebishana na ikishindikana ni kutafuta jinsi ya kuishi na udhaifu wa mwenzio. Mbali na hapo itakuwa vigumu na ukimwambia mtu ulishindwa kuoa kwa vigezo hivyo huwezu kueleweka. Hii ni sawa na tunavoishi na ndugu zetu, wafanyakazi wenzetu ambao kwa njia moja au nyingine wanakukwaza kutekeleza majukumu yako. Hali haliweza kukufanya uache kazi eti unakwazika. Watu wote tu kwenye sayari moja. Kwa maana ni kwamba ni vigumu kukweoa madhaifu ya wenzio. Hii inaanzia kwa mke kwamba hana vigezo vyote na haishii hapo itaenda kwa wafanyakazi wenzio hawako au hawafanyi unavotaka. Jaribu kutafakari..