nenda UD wako kibao pale
Udsm wapo kama wanafunzi ama ?
nenda UD wako kibao pale
yapUdsm wapo kama wanafunzi ama ?
Huwa wanajitenga Sana wale hawana issue
wepesi sana kulika, sema watu huwaogopa,Huwa wanajitenga Sana wale hawana issue
Nadhani umeeleza vyema kwa sisi tuloishi nao alafu ni wavivuuuWale wa kigari Ni noma
Kwanza inabid ujue Kama huna hela atakukimbia haraka Sana ( hawataki shida kabisa)
- Ukipata mtoto wa Kinyarwanda uwe tyari kula chakula Cha kawaida Sana ,Walio wengi hawajui kupika kabisa
- Ukimuoa wengi wanakua Ni wamama wa nyumbani yeye anajua kupendeza tu kila mda
Ya mwisho wanapenda maziwa Sana kwa hyo jitahdi kila siku una litre za kutosha ndani ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi ujipange sana. Uwa wasumbufu na wanapenda starehe sana!Wadau mnisaidie, niko katika umri ninaotakiwa kuoa. Lakini siku zote nimekuwa na ndoto ya kuoa mwanamke wa Kinyarwanda na hasa awe Mtutsi.
Navutiwa kwa urembo wao ila sijui tabia zao. Anayewajua anijuze. Vipi tabia zao za jumla? Nitawapataje ilhali Niko Dar? Msaada tafadhali.
Kwa nini mkuu?...wale wa KIGARI huwawezi na sio wife materials kabisa,
Mkuu, unaeza kuwa na namba ya mmoja wao?Mimi Nakuelekeza Hao Wapo Wengi Sana Kigoma
Kama Upo Dar es salaam, Panda Bus Hizi
Adventure, Saratoga, Arizona, Ntomola Mpaka Kijiji Kinaitwa Mpeta Hapo Telemka.
Nenda Kijiji Kinaitwa Katoto Kipo Kwenye Bonde Hapo Watuts Tele Wanaishi Kazi Yao Kubwa Ufugaji
Ukifika Unajizolea Ni Shape Kweli Kweli
Wana Mizigo Ile Aliyosema Sheikh Kipoozeo
Hio ni shida, kama ni kweliHuwa wanajitenga Sana wale hawana issue
Number Sina!!!!Mkuu, unaeza kuwa na namba ya mmoja wao?
Rwanda inakuzwa sana, wao wenyewe kwao wanakula chakula kwa mafungu mafungu, naijua Rwanda, nimekwenda Kigali, ninawafahamu WatutsiUna hela hawaolewi na mtu ambae hana cash
Sina hata mia.Hela ipo?