Natamani kumnyang'anya vitu nilivyo mpa

Natamani kumnyang'anya vitu nilivyo mpa

Kashindi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
349
Reaction score
250
jamani wakuu nimeshindwa kutoa ushauri kabla ya kukimbilia jamvini.
Kuna jamaa yangu tuko nae hapo chuoni alikuwa na mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwa mda wa miezi minne. Jamaa alikuwa kamfanyia vitu vingi mpenzi wake. Ikiwemo kumpa simu ya Huwawei Y-300 na pesa ya mavazi pamoja na kufanya nae starehe za kiuanafunzi.jamaa alikuwa hajafanya mapenzi na huyo demu ila relation yao ilikuwa ile ya friend with benefits. So juzi bidada akamfungukia rafiki yangu na kumtaka waachane kwa sababu eti bidada anampenzi wake kwao. Jamaa kachanganyikiwa na kutaka kumpokonya bidaa simu na kumdai gharama zote alizohudumia kaja kuomba ushauri kwangu. Nimemwambia anipe mda nifikire, ndio maana nimekuja jamvini kuomba ushauri wana ndug ushauri wenu tafadhali.
If you have nothing to contribute please pass free and don't insult.remember you are grown up enough to be wise.
 
Hmmmm. Wanaume hawapori. Wavulana ndo zao. Achague yupo kikundi gani.
 
He he he, na huyo mdada adai utamu waalopeana.
 
kanua simu kampa demu walivyoachana kampokonya
 
friends with benefits unaijua lakini?

huwezi kusema hawaja sex halafu useme ilkuwa friends with benefits

naifaham mkuu jamaa alikuwa anafukuzia sana lakini anazungushwa so he had to be patient
 
jamani wakuu nimeshindwa kutoa ushauri kabla ya kukimbilia jamvini.
Kuna jamaa yangu tuko nae hapo chuoni alikuwa na mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwa mda wa miezi minne. Jamaa alikuwa kamfanyia vitu vingi mpenzi wake. Ikiwemo kumpa simu ya Huwawei Y-300 na pesa ya mavazi pamoja na kufanya nae starehe za kiuanafunzi.jamaa alikuwa hajafanya mapenzi na huyo demu ila relation yao ilikuwa ile ya friend with benefits. So juzi bidada akamfungukia rafiki yangu na kumtaka waachane kwa sababu eti bidada anampenzi wake kwao. Jamaa kachanganyikiwa na kutaka kumpokonya bidaa simu na kumdai gharama zote alizohudumia kaja kuomba ushauri kwangu. Nimemwambia anipe mda nifikire, ndio maana nimekuja jamvini kuomba ushauri wana ndug ushauri wenu tafadhali.
If you have nothing to contribute please pass free and don't insult.remember you are grown up enough to be wise.

Alikuwa anamsainisha mahali walikua wakienda outing au kumpa simu?
 
jamani wakuu nimeshindwa kutoa ushauri kabla ya kukimbilia jamvini.
Kuna jamaa yangu tuko nae hapo chuoni alikuwa na mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwa mda wa miezi minne. Jamaa alikuwa kamfanyia vitu vingi mpenzi wake. Ikiwemo kumpa simu ya Huwawei Y-300 na pesa ya mavazi pamoja na kufanya nae starehe za kiuanafunzi.jamaa alikuwa hajafanya mapenzi na huyo demu ila relation yao ilikuwa ile ya friend with benefits. So juzi bidada akamfungukia rafiki yangu na kumtaka waachane kwa sababu eti bidada anampenzi wake kwao. Jamaa kachanganyikiwa na kutaka kumpokonya bidaa simu na kumdai gharama zote alizohudumia kaja kuomba ushauri kwangu. Nimemwambia anipe mda nifikire, ndio maana nimekuja jamvini kuomba ushauri wana ndug ushauri wenu tafadhali.
If you have nothing to contribute please pass free and don't insult.remember you are grown up enough to be wise.

Uongo bana yani kumfanyia mambo yote hayo huku bado hujapiga mzigo haiwezekani, sasa anataka amnyang'anye kwani alilazimishwa kumnunulia au ni mashauzi yake tu
 
friends with benefits unaijua lakini?

huwezi kusema hawaja sex halafu useme ilkuwa friends with benefits

Otherwise kuna vitu jamaa alikua anabenefit havijaelezwa kwenye huu uzi. Kinyume cha hapo friends with benefit imetumika vibaya.
 
jamani wakuu nimeshindwa kutoa ushauri kabla ya kukimbilia jamvini.
Kuna jamaa yangu tuko nae hapo chuoni alikuwa na mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwa mda wa miezi minne. Jamaa alikuwa kamfanyia vitu vingi mpenzi wake. Ikiwemo kumpa simu ya Huwawei Y-300 na pesa ya mavazi pamoja na kufanya nae starehe za kiuanafunzi.jamaa alikuwa hajafanya mapenzi na huyo demu ila relation yao ilikuwa ile ya friend with benefits. So juzi bidada akamfungukia rafiki yangu na kumtaka waachane kwa sababu eti bidada anampenzi wake kwao. Jamaa kachanganyikiwa na kutaka kumpokonya bidaa simu na kumdai gharama zote alizohudumia kaja kuomba ushauri kwangu. Nimemwambia anipe mda nifikire, ndio maana nimekuja jamvini kuomba ushauri wana ndug ushauri wenu tafadhali.
If you have nothing to contribute please pass free and don't insult.remember you are grown up enough to be wise.

Kinachoonekana hapo jamaa aliamini sana hisia na mawazo yake kwamba atampata huyo msichana kwa kigezo cha kumpa vitu na kufikiri kila msichana atafanya kila kitu kisa vitu.

Mwambie jamaa yako atumie hilo tukio kama darasa, huko mbeleni ajifunze kwamba sio kila mahusiano lazima yaishie kwenye uzinzi!
 
jamani wakuu nimeshindwa kutoa ushauri kabla ya kukimbilia jamvini.
Kuna jamaa yangu tuko nae hapo chuoni alikuwa na mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwa mda wa miezi minne. Jamaa alikuwa kamfanyia vitu vingi mpenzi wake. Ikiwemo kumpa simu ya Huwawei Y-300 na pesa ya mavazi pamoja na kufanya nae starehe za kiuanafunzi.jamaa alikuwa hajafanya mapenzi na huyo demu ila relation yao ilikuwa ile ya friend with benefits. So juzi bidada akamfungukia rafiki yangu na kumtaka waachane kwa sababu eti bidada anampenzi wake kwao. Jamaa kachanganyikiwa na kutaka kumpokonya bidaa simu na kumdai gharama zote alizohudumia kaja kuomba ushauri kwangu. Nimemwambia anipe mda nifikire, ndio maana nimekuja jamvini kuomba ushauri wana ndug ushauri wenu tafadhali.
If you have nothing to contribute please pass free and don't insult.remember you are grown up enough to be wise.

Mambo mengine muwe munayamaliza wenyewe huko nyie si wanaume? au wanaume suruali? Wanaume wawili mnashindwa kutatua jambo dogo kama hilo? Mnatuaibisha bhana.....agrrrr aaah poor men.
 
Mshauri hvo vitu amwachie sana sana atafte girl mkali zaidi yake,na pesa zaidi,kumnyanganya mtu simu ni kujidhalilisha,tena ambae ulidai unampenda??
 
Eti ampokonye,aliombwa?
Ameshapewa somo,likamfae mbele ya safari huko
 
Mwambie hilo ndo somo lake siku nyingine asirudie. Mtu ukimpa zawadi mali si inakuwa ya kwake labda kama walikuwa na mkataba wa tukiachana kila mtu anachukua chake Au kama alimuazima atumie kwa muda.
 
Inawezekana huyo demu anampima tu huyo jamaa ili aone another side of him
 
Back
Top Bottom