mzaramo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2006
- 6,371
- 5,174
Ukikimbia Nchale ukisimama Nchale!!!!!!Ukitaka kumtambua mzaramo popote duniani muangalie mdomo wa juu unakua umebinuka halaf unakuta unacheza cheza kila baada ya dakika kadhaa....hawa mi hawanipi shida kabisa wazaramo na wandengereko nawajua vizuri sana....