Natamani Kujifunza na Kuufahamu Uchawi

Watafute hawa.
Ng'wana kanundo
Nyibubu
Kalikalimbagule
Idili

Wengine nimewasahau, ila jiandae kutoa na sadaka inayokuhusu sana
Usidhani wanafundisha bure
 
saaafi kabisa hasa hasa ndio ninachokitaka
Mkuu Malyenge, nashukuru sana kwa kutoa mwanga japo haujampa ushauri ndugu Elli kulingana na hoja au shida yake ya kujifunza uchawi. Maelezo yako ni mazzuri, japo kuna mambo kadhaa siafikiani nawe. Suala la dini sidhani kama linaingiliana na uchawi, uchawi si dini, uchawi ni taaluma tu kama uhunzi au udaktari...hivyo basi hauingiliani na dini ya mtu, wapo wachawi wakristo na wanahudhuria vizuri makanisani, wapo wachawi waislam na wanakwenda kwenye ibada kila mara na wanaendelea na taaluma zao za uchawi kwa muda wao. Suala la umri pia si kweli mkuu kwa sababu kuna wachawi watoto wadogo wa shule ya msingi wenye uwezo mkubwa katika taaluma hiyo, si kweli kabisa kuwa wachawi wote wana umri wa uzee, kuna wachawi vijana wengi, na hata watoto. Kama unamfahamu mwalimu mzuri wa dawa ya invisibility naomba unifahamishe kwa PM mkuu, kuna mmoja niliwahi kuelekezwa kule Rwanda lakini kwa bahati mbaya nilipoteza mawasiliano ya mtu anayemjua wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe!

Pamoja Mkuu.


NB: Ieleweke wazi kuwa UCHAWI ni taaluma kama taaluma zingine. Ni kweli kuwa kuna wachawi watenda maovu, lakini ni kweli pia kuwa asilimia tisini ya wachawi ni watu wema wasiotumia taaluma zao vibaya. Kama ilivyo udaktari, kuna madaktari wengi wauwaji, kuna maaskari wengi majambazi na kuna mapadri wengi wazinzi, lakini matendo ya wachache hayaqualify kuhalalisha uharamu wa taaluma.
 
Mkuu Malyenge, nashukuru sana kwa kutoa mwanga japo haujampa ushauri ndugu Elli kulingana na hoja au shida yake ya kujifunza uchawi. Maelezo yako ni mazzuri, japo kuna mambo kadhaa siafikiani nawe. Suala la dini sidhani kama linaingiliana na uchawi, uchawi si dini, uchawi ni taaluma tu kama uhunzi au udaktari...hivyo basi hauingiliani na dini ya mtu, wapo wachawi wakristo na wanahudhuria vizuri makanisani, wapo wachawi waislam na wanakwenda kwenye ibada kila mara na wanaendelea na taaluma zao za uchawi kwa muda wao. Suala la umri pia si kweli mkuu kwa sababu kuna wachawi watoto wadogo wa shule ya msingi wenye uwezo mkubwa katika taaluma hiyo, si kweli kabisa kuwa wachawi wote wana umri wa uzee, kuna wachawi vijana wengi, na hata watoto. Kama unamfahamu mwalimu mzuri wa dawa ya invisibility naomba unifahamishe kwa PM mkuu, kuna mmoja niliwahi kuelekezwa kule Rwanda lakini kwa bahati mbaya nilipoteza mawasiliano ya mtu anayemjua wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe!

Pamoja Mkuu.


NB: Ieleweke wazi kuwa UCHAWI ni taaluma kama taaluma zingine. Ni kweli kuwa kuna wachawi watenda maovu, lakini ni kweli pia kuwa asilimia tisini ya wachawi ni watu wema wasiotumia taaluma zao vibaya. Kama ilivyo udaktari, kuna madaktari wengi wauwaji, kuna maaskari wengi majambazi na kuna mapadri wengi wazinzi, lakini matendo ya wachache hayaqualify kuhalalisha uharamu wa taaluma.

Mods piga life ban hawa wachawi tena waponywe kwa Damu na Jina la Yesu.
 
Da mkuu Elli kuna jamaa 1 bahati mbaya amefariki now alikuwa anaitwa Munga Tehnani.Alikuwa ni mmilki wa gazeti la jitambue.Alikuwa na darasa lake la kujifunza matumizi ya nguvu (wengine wanaita uchawi) maeneo ya kimara.baada ya kufariki hakuacha mtu mwingine wa kuendeleza kazi yake..kwa kweli wengi sana hawajui chochote kuhusu nguvu Hz na wanaziita tu Uchawi kwa ujumla wake...ni nyepesi sana kuzijua NA kuzitumia...bahati mbaya kuna stories nyingi za uongo kuzihusu.
 
Watafute hawa.
Ng'wana kanundo
Nyibubu
Kalikalimbagule
Idili

Wengine nimewasahau, ila jiandae kutoa na sadaka inayokuhusu sana
Usidhani wanafundisha bure

Hao wacheza ngoma sidhani kama wanaweza kumsaidia sana!...hawa wanakuwa na wataalamu wao ambao wanawafanyia sanaa zote na wanawalipa tu!
 
Mkuu, pia unaweza kutafuta vitabu vya mama mmoja anaitwa Cassandra Eason. Ninacho kitabu chake kimoja kinaitwa THE COMPLETE BOOK OF MAGIC AND RITUAL.


Mkuu! Nilidhani uchawi wako ni kwa maswala ya computer tu. Kumbe na huku tena? Anyway mi sihitaji Mambo ya uchawi. Bali nina facebook account ambayo nilisahau password nitakuchek pm kama unaweza kunifanyia mambo.
 
Mkuu! Nilidhani uchawi wako ni kwa maswala ya computer tu. Kumbe na huku tena? Anyway mi sihitaji Mambo ya uchawi. Bali nina facebook account ambayo nilisahau password nitakuchek pm kama unaweza kunifanyia mambo.
hahahaaa mna visa nyie jamani, mwacheni mpwa wangu anipatie Hints kidogo
 
Mkuu! Nilidhani uchawi wako ni kwa maswala ya computer tu. Kumbe na huku tena? Anyway mi sihitaji Mambo ya uchawi. Bali nina facebook account ambayo nilisahau password nitakuchek pm kama unaweza kunifanyia mambo.

Hahahaha! Mkuu, mimi niko adicted na knowledge ya kila kitu, nikiwa na knowledge natamani skills...i guess im greedy!!
 
Mkuu kwanza I salute you!!!!
Ukitaka kujifunza uchawi kwanza ni lazima ujitolee haswa...Nasema hivyo kwa maana....Kwamba imani yako uliyonayo katika dini ni lazima uitoe kabisa......Pili unapojifunza uchawi ni lazima ufute imani potofu......Mfano watu wanaamini mtu anaweza kupaa kwa ungo kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine....Uzitoe kwanza hizo imani potofu ingawa ungo unatumika katika uchawi lakini si kama ambavyo imekuwa ukisimuliwa.
Tatu, elimu ya uchawi inapatikana baada ya kuwa umehudhuria madarasa kumi na saba (17) ambapo kila darasa linachukua miaka mitatu (3). Ukizidisha mara 17 unapata miaka 51.......(keep in mind ndo maana wachawi wote huwa wana umri wa uzee ni kwa sababu hii......). Then utafundishwa nyanja nyingi sana....Isipokuwa nikupe hint tu kwamba watu wanasema ili uwe mchawi imara ni lazima umtoe mwanao, mama yako ama baba yako......Hizi ni propaganda za kuupakazia uchawi tu. Hakuna kitu kama hicho na wala hakihusiani na elimu ya uchawi.
Malipo ya uchawi ni kutunza siri....Ukiwa msiri hata kwa mkeo (mumeo) uchawi utakukaa mpaka watakuita konkod....Sumu ya uchawi ni kuropoka na kutishia watu. Na mchawi aliyesomea huwa hana hasira ama kinyongo......Zingatia hilo.
Waalimu wa uchawi wako wengi isipokuwa ni wa umri mchanganyiko. Kuna wanaokufundisha kutengeneza radi (lazima awe mzee ama anayezidi miaka 45) na kuna wanaokufundisha kuiba katika mabenki (ni lazima awe ni kijana wa kiume akishirikiana na bibi kizee). Kumbuka uchawi wa kuiba benki unatakiwa kufanywa mchana na si usiku!!!!! Masharti yake ni kwamba unakwenda uchi kuanzia nyumbani kwako mpaka benki na njiani ama benki unatakiwa usigusane na mtu yeyeote yule. Kimsingi watu ndani ya benki hawakuoni ila wewe unawaona lakini sharti lake ni kugusana tu!
Wacha niachie na wengine wachangie.....

Huu wa wizi wa benki unachukua muda mrefu? Manake tusije kesho tu tukakutana na misururu ya watu wakiwa uchi ikielekea benki, wakiwa na imani hawaonekani kumbe tunawaona!
 
Kama unatafuta uchawi wa manufaa nipm huu nilionao mimi ni ule wa kuundeleza mwenyewe hauna kafara huu wangu unatokana na super natural powers una masharti mengi lakini c mabaya unahitaji meditation sana na kula vyakula vya kuchemsha tu na kuacha kila chochote cha nyama kwa kuanzia tafuta kitabu cha 'Analects:Way n its Powers'
 
Mmmmmhh bado naona hamjanielewa concern yangu zaidi ya kunichonganisha na Muumba wangu tu. Pls read careful before you comment anything

Nafikiri wamekuelewa kwani ndo ulichokitaka /ulizia otherwise hakuna mwenye nguvu na uwezo kushinda Mungu muumba mbingu na nchi.
 
Back
Top Bottom