Natamani kuchana vyeti!

Pole sana. Mateso yakizidi ujue neema inakaribia, mshirikishe Mungu.
 
Siku ukipata kazi utakuja hapa usema hujabarikiwa kupata mume. As siku utakua ulishawaza kuwa ukipata elimu ya degree utafurahi. Binadamu hawezi kuridhika kamwe
 
Nenda MUCE kasome Post graduate Diploma
Kwasasa sina uwezo wa kumudu masomo financial wise. Hata hivyo nadhani changamoto itabakia hivi hivi, si yatakua yale yale tu! Au?
 
Siku ukipata kazi utakuja hapa usema hujabarikiwa kupata mume. As siku utakua ulishawaza kuwa ukipata elimu ya degree utafurahi. Binadamu hawezi kuridhika kamwe
Mume ninae, na mtoto mmoja ninae, labda niambie jingine! Ahsante kwa kuchangia la moyoni mwako!
 
Unajishughilisha na kilimo kipi na unafuga nini? Dada sio razima uajiriwe hata hicho kilimo na ufugaji unawexa kukutoa kabisa, sema labda unalima.huku unamawazo makubwa sana labda ya kuwa by pass hao wadogo wako.

Unaweza fanikiwa kwenye kilimo unacho fanya au ufugaji only kuwa commited na confidence.
 
Wakati wa mungu ni wakati sahihi bado muda wako haujafika mungu Hawai wala hachelewi atakujib tu
 
Pole sana tatizolako ni kama langu Nina mwaka Niko home kila ninapopeleka siitwii, najitahi najitahidi kufanya ibada ila bado rizk haijafunguka.
 
Pole sana tatizolako ni kama langu Nina mwaka Niko home kila ninapopeleka siitwii, najitahi najitahidi kufanya ibada ila bado rizk haijafunguka.
Mdogoangu mpendwa, usijifananishe na mimi tena utajitia mkosi! Kaa kimya! Mwaka mmoja bado sana, endelea kumuomba Mungu, usianze kujifananisha na case ngumu kama yangu classmates wangu huwa wananishangaa sana wakioniona sina kazi hawaamini ati! Mpaka najikuta natengana nao coz najiona si wa class yao tena! Siwafurahii tena as classmates!
 
Wakati wa mungu ni wakati sahihi bado muda wako haujafika mungu Hawai wala hachelewi atakujib tu
This is too much! Unless God has a special mission with my life! However, let His will be done! I won't stop proclaiming his highness!
 
Ukiona mtu hadi anachanganyikiwa hv ujue mambo hayaendi vile mtu anatarajia. Nalima mahindi tu, nahangaika na ufugaji wa kuku chotara lakini changamoto zimekua nyingi kiasi kwamba zinanivuruga kabisa! Kila nikijitahidi naona narudi nyuma tu! Sijui nimekaliwa na kitu gani!
 
Usichane vyeti mkuu!

Vina maana gani sasa......they've lost meaning! I dont see them as something to be proud of anymore, but otherway round! So tearing and smashing them into ashes is just ok with me!
 
Don't do that.....viache tu, Usifanye hivyo.....Unaweza Siku kuhitajika sehemu,ukahitajika upeleke vyeti...alafu ikawa sio.

Nasisitiza vihifadhi tu, ni kumbukumbu yako ya ulivyohangaika Masomoni.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…