Natamani hata kuondoa uhai wangu

Natamani hata kuondoa uhai wangu

Hamna Sababu ya kujitoa uhai, laki tano kitu gani, watu wanapoteza mabilioni ya fedha na hawakati tamaa.
 
Ni hali ya kawaida ya mtu inaweza kumkuta, anakata tamaa, mbele giza nyuma giza, unasema ngoja nimalize tu na hii iliyopo. Kumbuka story ya Mama Mjane kwenye Biblia, akasema ngoja nikatengeneze chakula cha mwisho nile na mwanangu kisha tusubiri kifo.....kwahio wala tusimlaumu. Tumsaidie kama tutaweza
Aweke namba yake kama atapenda maana so rahisi kukumbuka thread zote humu. Naweza kumpa wazo la biashara alifanyie kazi. Kujiua ni sawa na kuua kwa hiyo atapata adhabu mbele ya safari. Wela namba hapa au pm tutawasiliana. Don't kill yourself. That is the way of the cowards.
 
Ina maana kama bia moja elfu 2000 Hadi elf tano unataka kusema ulikuwa unalewa kreti moja ya bia na unakula Nyama chhoma nahis unabidi kukaa mbali na wanawake maana ndo umetumia nao hela zako

Pole Sana but Death is not greatest loss in life but Greatest loss in life is to die inside while still alive.
 
Pombe unywe wewe kwa pesa na starehe zako afu unakuja kututisha eti unataka kujiua?
Vijana wa siku hizi bhana Huwa hatukubaliani na kitu kinachoitwa changamoto... Mimi nimelala chini zaidi zaidi ya miaka 17 Hadi nimeangukia kuwa nusu kiziwi ,,,ila sikata tamaa ng'oo
 
Vijana wa siku hizi bhana Huwa hatukubaliani na kitu kinachoitwa changamoto... Mimi nimelala chini zaidi zaidi ya miaka 17 Hadi nimeangukia kuwa nusu kiziwi ,,,ila sikata tamaa ng'oo
Changamoto ndogo mtu anataka kujiua, angekua kipofu sasa?
 
Laki 5 ya kujiua..?? 🤣🤣🤣 Ungekua na cycle ya jamaa waliopururwa na jiwe kipindi chake na pesa walizotaifishwa utagundua kwamba hujapoteza kitu.. Tena wew umezinywea mwenyewe... Jiue tu aisee
 
Wadau habari zenu,

Wadau mimi nikijana (28) nilikuwa nafanya kazi kampuni fulani ila ikafika muda tukapunguzwa kazini, lakini pia nilikuwa nimesave kiasi cha kama laki 7 kwenye account yangu benki, ikumbukwe pia kipindi chote hicho sikuwa na hata pakuishi hata simu niliyokuwa natumia ilikuwa ya batani maana nilikuwa na katecno.

Ila katika harakati za kutafuta kazi basi ilibidi nikauze ili kupata nauli ya kufatilia michongo ya kazi, maana nilikuwa jobless tu kitaa na pia wazazi nao hawakuwa vizuri kiuchumi hivyo nilikuwa napiga tu mishe kwa kujitegemea.

Sasa baada yakupunguzwa kazini kutokana na ukata wa kampuni huku nikiwa na mawazo mengi kichwani nikafatilia pesa yangu benki huku nikijua ndio mwisho wa kazi. Nikasema wacha ninunue hata ka smartphone ka laki 2, ikabaki laki 5 ili zingine zinisaidie kwenye michongo yangu, hapa ndipo balaa lilipoanzia

Nikajikuta nimekuwa mlevi kupindukia ndani ya siku 5 kwenye account nikicheki salio ni elfu 10 tu ndio imebaki. Sijui pakuanzia tena na pesa imeisha, yaani nimetumia almost laki 5 kwa siku 5 duh! Hapa nilipo nimechanganyikiwa, kazi sina pesa zimeisha mpaka natamani kujimaliza tu maana mawazo tele kichwani.

Ndugu zangu, huku JF sijaingia muda nikasema mkinikosa jua nimeshafanya maamuzi magumu tu ya kujitoa uhai

NB: Sina uandishi mzuri na nimepaniki mno hapa nilipo maana mawazo hayaishi.
umepiga gambeee. hahahaha
 
Back
Top Bottom