kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 534
- 323
Unakuta mgonjwa ni mwanaume haijalishi ni mzee au kijana utakuta anahudumiwa na nurse au doctor wa kike tena kuna muda huduma itatolewa hata akiwa uchi na ni hivyo hivyo na hata kwa wanawake.
Sasa naomba kueleweshwa kwani haiwezekani pakawa na utaratibu wa kutoa huduma hii kwa kufuata jinsia.
Maana kinachoendelea ni mimi naona ni unyanyasaji kwa wagonjwa na mgonjwa kwa muda huo hawezi kujitetea maana yeye anahitaji kupona bila kujali kuwa heshima ya kutunza tupu zake ndio keshaipoteza hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa naomba kueleweshwa kwani haiwezekani pakawa na utaratibu wa kutoa huduma hii kwa kufuata jinsia.
Maana kinachoendelea ni mimi naona ni unyanyasaji kwa wagonjwa na mgonjwa kwa muda huo hawezi kujitetea maana yeye anahitaji kupona bila kujali kuwa heshima ya kutunza tupu zake ndio keshaipoteza hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app