Natamani hata hospitali wangeheshimu jinsia za watu kama yanavyofanya majeshi

kigogo1ivi

JF-Expert Member
Jan 15, 2013
534
322
Unakuta mgonjwa ni mwanaume haijalishi ni mzee au kijana utakuta anahudumiwa na nurse au doctor wa kike tena kuna muda huduma itatolewa hata akiwa uchi na ni hivyo hivyo na hata kwa wanawake.

Sasa naomba kueleweshwa kwani haiwezekani pakawa na utaratibu wa kutoa huduma hii kwa kufuata jinsia.

Maana kinachoendelea ni mimi naona ni unyanyasaji kwa wagonjwa na mgonjwa kwa muda huo hawezi kujitetea maana yeye anahitaji kupona bila kujali kuwa heshima ya kutunza tupu zake ndio keshaipoteza hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgonjwa mpaka anapelekwa hospitali ni katika jitihada za kuokoa uhai. Unawezaje kuchagua mtu wa kuokoa uhai wako?

Kutokana na imani za dini maombi kama hayo husikilizwa lakini mgonjwa anatakiwa kufahamu ucheleweshwaji wa huduma unaweza kutokea ili kufikia matakwa yake.
 
Unakuta mgonjwa ni mwanaume haijarishi ni mzee au kijana utakuta anaudumiwa na nurse au docter wa kike tena kuna muda huduma itatolewa hataakiwa uchi na ni hivyo hivyo na hata kwa wanawake.

Sasa naomba kueleweswa kwani haiwezekani pakawa na utaratibu wa kutoa huduma hii kwa kufuata jinsia.
Maana kinachoendelea ni mimi naona ni unyanyasaji kwa wagonjwa na mgonjwa kwa muda huo hawezi kujitetea maana yeye anaitaji kupona bila kujari kuwa heshima ya kutunza tupu zake ndio keshaipoteza hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Ndiyo maana fani hiyo inapaswa kufanywa kwa weledi wa hali ya juu. Pia ili mtu aweze kuingia huko, baada ya kufaulu masomo, anaapishwa na kwa kiapo hicho ni kosa kutoa siri ya ugonjwa wa mgonjwa anayemhudumia hata kwa ndugu zake bila mgonjwa kumpa ridhaa yake.
 
Hapana. Ndiyo maana fani hiyo inapaswa kufanywa kwa weledi wa hali ya juu. Pia ili mtu aweze kuingia huko, baada ya kufaulu masomo, anaapishwa na kwa kiapo hicho ni kosa kutoa siri ya ugonjwa wa mgonjwa anayemhudumia hata kwa ndugu zake bila mgonjwa kumpa ridhaa yake.
Hapo kwenye kiapo cha kutunza siri naona haupo serious mkuu. Siku hizi ukienda hospitali taarifa zako zinafika nyumbani unaumwa nini kabla hujarudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nan kakuambia majeshi yanaheshimu jinsia, kuna kipindi niliomba nafas za kuingia jeshini wakat wa kupima afya wanakuangalia kama kweli ni rijali , nikamkuta Dada anakushika kende kama kawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulicho kisema ni kweli lakini kutokana na mfumo tulionao haukuliangalia hilo suala kwa sura basi inakuwa ngumu kuliteleza,maana hao wauguzi wengi wao ni wanawake na madaktari wengi ni wanaume.
 
Kwani wanaume tunapo tongoza tunatakiwa tutongoze wanaume wenzetu au tunatongoza wanawake
Ukweli ni kwamba wanawake wanaujua uchi wa wanaume zaidi ya wanavyo jua uchi wa mwanamke hivyo hivyo kwa wanaume tunawajua wanawake zaidi kuliko wanaume
Unakuta mgonjwa ni mwanaume haijalishi ni mzee au kijana utakuta anahudumiwa na nurse au doctor wa kike tena kuna muda huduma itatolewa hata akiwa uchi na ni hivyo hivyo na hata kwa wanawake.

Sasa naomba kueleweshwa kwani haiwezekani pakawa na utaratibu wa kutoa huduma hii kwa kufuata jinsia.

Maana kinachoendelea ni mimi naona ni unyanyasaji kwa wagonjwa na mgonjwa kwa muda huo hawezi kujitetea maana yeye anahitaji kupona bila kujali kuwa heshima ya kutunza tupu zake ndio keshaipoteza hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye kiapo cha kutunza siri naona haupo serious mkuu. Siku hizi ukienda hospitali taarifa zako zinafika nyumbani unaumwa nini kabla hujarudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nilichoeleza ni matakwa ya kisheria na weledi ya wauguzi na madaktari. Kinachofanyika ni jambo ambalo mimi na wewe hatuna uwezo nalo. Sawa na uwizi ni uvunjaji wa sheria ila watu wanaibiwa kila kukicha!! Imani yangu ni kuwa ukimshitaki muuguzi au daktari kwa kutoa taarifa zako nje, atakuwa na kesi ya kujibu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom