😅😅 endelea kuota, hivi unajua malaya anaoa/kuolewa na malaya? Maana ndiye mtu aliye kwenye cycle yako .Uzuri wa mke wangu ana kiburi,jeuri na mambo mengi lakini sio malaya..hiko ndo kikubwa nnachoshukuru..
Acha kabisa ..si yeye mwenyewe kasema mbona dunia haiishiwi matukio hiiMke wako sasa hivi na yee anakalia ukuni wa yule x wake huko home aisee dunia hii
Popote! popote! Kambi muda nao haugandi🚶Mke wako sasa hivi na yee anakalia ukuni wa yule x wake huko home 😀 aisee dunia hii
Unadhani hata mimi sikujua kuwa hiyo kauli sio nzuri? Nilijua lakini mpaka niliamua kuongea nilikuwa nimekwazika sana. Mimi ndio mvumilivu kwenye hii ndoa yangu kama nisingekuwa mvumilivu nadhani saizi ningekuwa nina watoto wengi kwa mama wengi. Kumbuka kuwa sio kitu chepesi mwanamke unayempenda kumtamkia maneno kama yale.Yaani hiyo kauli ungenitamkia Mimi hata Kama nakupenda vipi ningekubali tuachane kwa amani.
Raha ya ndoa mpendane, mfurahiane na mridhiane.
Kuishi na mtu umeshajua hakuhitaji ni ngumu Sana aiseee. Huyu mkeo kweli mvumilivu