gidume
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 743
- 906
Wakuu dunia imejaa misukosuko ya kila namna..
Mwezi iliopita nimekutana na mrembo wa maisha..yani mwanamke nlietamani niwe nae maishani mwangu ndo amekuja wakati ambao sio sahihi..
Nimemsafirisha wife kaenda kupumzika kidogo baada ya pirika nyingi za kazi ameenda kuvuta pumzi kwao kama mwezi hivi..
Kuna mchuchu nlikua namfukuzia kuanzia mwaka unaanza bas hatimae na huu upweke niliokua nao ameingia kwenye mtego adi sasa tumeshafanya vyote..huyu mwanamke ningekua sijaoa ningetangaza ndoa week hili hili ..
Natamani siku akijua nimeoa aseme tu nione mke wa pili sitochelewesha kabisa ingawa nahisi akijua ndo itakua mwisho wetu na atakua amenipa pigo kubwa sana tena..kwann dunia haipumziki na matukio? Mara hili mara hili..kweli diamond plutnums aliimba ‘sikomi’
Ananihimiza sana niende nikajitambulishe kwao kama ntakua serious na kama sina mpango nimwambie kabisa,nasita sbb naweza porwa tonge mdomoni,akimpata mwanaume mwenye machachali yake ambae yupo single hamcheleweshi..sasa mimi nataka niunde tume au nimtoe nyumbani kihuni alaf nimpe mimba nipate uhuru akiwa katika himaya yangu..yani nimpangie nimpe kila kitu na mimba juu nimuahidi ndoa mwakani au mwaka kesho kutwa..je familia ya kichaga itanielewa kweli..na zile mahali zao za mil 6 si bora nimwambie nimfungulie ofisi..itaswii kweli
Em tushauriane mabaharia mliopitia vitu kama hivi mlifanyaje..
Kama huna la kuongea Vaa barakoa
Mwezi iliopita nimekutana na mrembo wa maisha..yani mwanamke nlietamani niwe nae maishani mwangu ndo amekuja wakati ambao sio sahihi..
Nimemsafirisha wife kaenda kupumzika kidogo baada ya pirika nyingi za kazi ameenda kuvuta pumzi kwao kama mwezi hivi..
Kuna mchuchu nlikua namfukuzia kuanzia mwaka unaanza bas hatimae na huu upweke niliokua nao ameingia kwenye mtego adi sasa tumeshafanya vyote..huyu mwanamke ningekua sijaoa ningetangaza ndoa week hili hili ..
Natamani siku akijua nimeoa aseme tu nione mke wa pili sitochelewesha kabisa ingawa nahisi akijua ndo itakua mwisho wetu na atakua amenipa pigo kubwa sana tena..kwann dunia haipumziki na matukio? Mara hili mara hili..kweli diamond plutnums aliimba ‘sikomi’
Ananihimiza sana niende nikajitambulishe kwao kama ntakua serious na kama sina mpango nimwambie kabisa,nasita sbb naweza porwa tonge mdomoni,akimpata mwanaume mwenye machachali yake ambae yupo single hamcheleweshi..sasa mimi nataka niunde tume au nimtoe nyumbani kihuni alaf nimpe mimba nipate uhuru akiwa katika himaya yangu..yani nimpangie nimpe kila kitu na mimba juu nimuahidi ndoa mwakani au mwaka kesho kutwa..je familia ya kichaga itanielewa kweli..na zile mahali zao za mil 6 si bora nimwambie nimfungulie ofisi..itaswii kweli
Em tushauriane mabaharia mliopitia vitu kama hivi mlifanyaje..
Kama huna la kuongea Vaa barakoa