Acha uchoyo wewe!
Kwanini utumie peke yako duh,...watanzania tuna share kila kitu!!!
Nataka jiko la peke yangu mie si kila mja anachakachua!
Wapi ntapata aina hii?
Nataka jiko la peke yangu mie si kila mja anachakachua!
Wapi ntapata aina hii?
ndio maana natamani urudi jukwaa la siasa!!!!!!!
Nataka jiko la peke yangu mie si kila mja anachakachua!
Wapi ntapata aina hii?
Jukwaa la Wakubwa kwishney
Labda uwe na tembocard mastercard ndo waweza pata la peke yako!!!!!!!!!!!
Nataka jiko la peke yangu mie si kila mja anachakachua!
Wapi ntapata aina hii?
Mchezaji mzuri ni yule anayepata mechi nying za kirafki.
Habari yako mtu mzima?
susyyyyyy,...
kwani uongo jamani?
kama jirani yako hana jiko haruhusiwi kupikia jiko lako?
basi mtaani kwenu wachoyo kweli,...
sisi kwetu kama hauna jiko,tumia la jirani hadi utakapo nunua lako,..
la kwako liki haribika pia,nenda kwa jirani maisha yanaenda kwa style hiyo
[SIZE=+0]mchezaji mzuri ni yule anayepata mechi nying za kirafki...................................[/SIZE]
Nataka jiko la peke yangu mie si kila mja anachakachua!
Wapi ntapata aina hii?
nipo mkubwa wangu,
natafakari hapa jiko la peke yangu!!!!!!!