Nataka ya peke yangu mie

NATA

JF-Expert Member
May 10, 2007
4,492
1,311
Nataka jiko la peke yangu mie si kila mja anachakachua!

Wapi ntapata aina hii?
 
Acha uchoyo wewe!
Kwanini utumie peke yako duh,...watanzania tuna share kila kitu!!!
 
[SIZE=+0]mchezaji mzuri ni yule anayepata mechi nying za kirafki...................................[/SIZE]
 
ndio maana natamani urudi jukwaa la siasa!!!!!!!

susyyyyyy,...
kwani uongo jamani?
kama jirani yako hana jiko haruhusiwi kupikia jiko lako?
basi mtaani kwenu wachoyo kweli,...
sisi kwetu kama hauna jiko,tumia la jirani hadi utakapo nunua lako,..
la kwako liki haribika pia,nenda kwa jirani maisha yanaenda kwa style hiyo
 
Mchezaji mzuri ni yule anayepata mechi nying za kirafki.
 
Mchezaji mzuri ni yule anayepata mechi nying za kirafki.


halafu kaka, mechi za ugenini si unajua kuwa kila gol utakaloscore,
lina advantage, wenyewe wanasema'' away goal'',
Ukirudi mechi ya nyumbani hata ukidraw tu,
unapita round ya pili!!!!!!!
 
susyyyyyy,...
kwani uongo jamani?
kama jirani yako hana jiko haruhusiwi kupikia jiko lako?
basi mtaani kwenu wachoyo kweli,...
sisi kwetu kama hauna jiko,tumia la jirani hadi utakapo nunua lako,..
la kwako liki haribika pia,nenda kwa jirani maisha yanaenda kwa style hiyo

kwakuwa unadhani majiko ni sawa na vyama vya siasa? leo upo NCCR Manunuzi kesho upo CCM???????????

aaaaaaaaaaahhhhhhhh nakuja huko huko kuku PM naona leo hauko sawa ww!!!!!!!!
 
JIKO LAKO PEKE YAKO SI INSHU. Kama serikali (Tanzania), ilijaribu mfumo wa chama kimoja ikashndwa w utaweza 1-1?...... Mpango mzma n many to many
 
zote si michezo??????. More practise make perfect!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Pia jiko lako peke yako litakuongezea majukumu. Ila ikiwa mpo wengi mnagawana majukumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom