Nataka Unitongoze

Status
Not open for further replies.
Umwambie unampenda!! Kimapenz sasa kama kuangaliana si hata wanawake nao huangaliana
 
Hahahahahahahah.... Umenikumbusha Mbali sana .... You made my day

Me making your day completes my day!

Damn...I wouldn't even mind making it a habit of a lifetime!

Msweet
 



Ndio ya upande huu wa mjini au ile ingine?
Yalaaaaaaaaaa...natumaini sio wewe mleta mada ha hahaaaaaa sababu nilikuona...😉😀
 
hehehehehehehe mkuu unapoteza muda na huyo mtu?? Kwani wewe humjui kwa vituko na vibweka vyake humu..

Bitch acting like he knows everything...
Namjua sana Matola mkuu ,huyu jamaa yupo kama mbogo aliyejeruhiwa muda wote ,ngoja atakuja utamwona atakavyo bwabwaja ,
 
Dah hapa umekuwa humble sana vipi nini kimekusibu ?? Sasa nilitaka nikufundishe njia nyingine ya kufanya tracking ila kwa sababu umeweka nondo za geology meza hizo kwanza siku nyingine nikupe darasa
 
Namjua sana Matola mkuu ,huyu jamaa yupo kama mbogo aliyejeruhiwa muda wote ,ngoja atakuja utamwona atakavyo bwabwaja ,
hehehehehehe Tor Browser.. Hivi mtu akijua wewe ulipo kuna ubaya gani??

Au ndio wale wa kudanganya wako sehemu fulani angali hawako huko.. Yaani unaanza kutumia mabrowser kibao ili tu uhide sehemu ulipo?? Kwani humu JF kuna uhalifu unafanya mpaka upate shida zote hizo..
 
Nafikiri wadada wengine ushamba na utoto mwingi ndio unaowasumbua.

Hakuna sababu ya cutting corners...afterall ni mchezo ambao kwa wale wastaarabu normally hakuna kulazimishana.

Inakuwa spontaneous.....
 
Hahahaha halafu average person atakayetumia IP address kufanya tracing sana sana atakacho ona ni region au City uliyopo ,hawezi kujua majina yako wala chochote sasa mbaya zaidi ukute unatumia Wi-Fi ndio kabisa hawakupati ,vingine wataenda tu kwa ISP kupata majina na adress ya mtumiaji ,ambavyo kukupata pia ni kazi nyingine kwa sababu anayelipia internet anaweza akawa sie ndie aliyetumia ,basi Matola na Tor browser yake kaikomalia kweli kweli wakati ina VPN tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…