MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,444
- 69,265
How did this come to be about a personal life, we all knew the thread was just full of jokes?
Who said this is personal?
Na unajuaje kama mimi sitanii?
How did this come to be about a personal life, we all knew the thread was just full of jokes?
Bwahaaaaaaa bwahaaaaaaaa bwahaaaaa!
Wewe acha kulia alia hapa
Baba yako shahada ya kwanza kachukulia UDSM. Take that! Take That!
Hizo nyingine alichukulia huko Americas, na swala la kufundisha UDSM yule hakufundisha pale miaka yote.
Alirudi tena UDSM miaka ya 80's.
Bwahaaaa bwahaaaaaaaa!
Naona unapiga mule mule.. Ebu endelea kutiririka, Ila Nyani ni mjanja so unatakiwa uwe mjanja mara mbili yake.. One mistake ataichukulia advantage.. Legoooo mamen
Naona unapiga mule mule.. Ebu endelea kutiririka, Ila Nyani ni mjanja so unatakiwa uwe mjanja mara mbili yake.. One mistake ataichukulia advantage.. Legoooo mamen
Is that all you got?
Ooooooh NOPE MR NEW YORK!
Mla vumbi kwanzaaaa ndiyo naanza , my march just begins SO BUCKLE UP.
#HAPAKAZI TU.
😀😀😀😀😀😀
hehehehehehehe leo niko naangalia swahiba wangu Mali anavyokucharaza hapa..Hahahaaaa kumbe umenigundua eeh?
Niko mjanja kupita maelezo.
Hakuna anayenijua humu ndo maana natamba sana.
Man.. Still watching.. hehehehe leo Nyani atakataa tu ila mwenyewe anajua unapiga mule muleUnajua humu mitandaoni kuna watu wa aina tofauti sana!
USA BABY, lets roll.
hehehehehehehe leo niko naangalia swahiba wangu Mali anavyokucharaza hapa..
Ila ndio kukubali najua hutataka kukubali kwamba anakujua..
Kama ulikuwepo mkuu,jana tu imenitokea hiyo,kuna demu ametoka town majuzi kaja bush sasa na mimi kitambo nilikuwa sijaja kijijini,kwa kifupi nilimwacha akiwa mdogo sana kiasi nilishamsahau,ile tumekutana akanichangamkia kweli kweli hadi nikahoji kama ananifahamu maana mtoto si mchezo aisee!akadai ananifahamu na baada ya kumkumbuka tukapiga story za kuvuka mipaka,akakubali na akaridhia ombi la kuja geto,alifika na tukafanya yetu.Cha ajabu baada ya kumaliza akanikasirikia hadi mida hii eti kisa kwanini sikumwambia tunaenda kufanya nini geto!!!!Wa aina hiyo anaweza kwenda na mtu mpaka kwenye chumba lodge/hotel or whatever the place na kudai hakujua nia ya jamaa.

Man.. Still watching.. hehehehe leo Nyani atakataa tu ila mwenyewe anajua unapiga mule mule
Ebu njoo PM mkuu..Bado tu hujamjua na mahint yote haya?
Ushamba ni kujifanya unamjuwa Anonymous wakati unachart na Ghost tu.Bado tu hujamjua na mahint yote haya?
Ebu njoo PM mkuu..
Ushamba ni kujifanya unamjuwa Anonymous wakati unachart na Ghost tu.