Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Kaka ubarikiwe...vichwa vya namna hii ndio vinapaswa kuwa hapa JF.

Unajenga hoja yako bila dhihaka na matusi.

JF inaharibiwa na watu wachache ambao tafsiri ya uhuru wa kutoa maoni/mawazo kwao ni kujenga na kutoa propaganda za uongo zenye kujenga chuki na uhasama ktk jamii na wasiguswe. Kwakuwa taifa hili linaongozwa kwa mujibu wa sheria...inatupasa kutii sheria za nchi zilizopo hata kama sheria hizo hatuzitaki.

Haiwezekani uje hapa jukwaani ubwabwaje unavyotaka bila kupima athari za kauli zako halafu wakuache tu. Hio Serikali hata sisi wananchi tutaishangaa...haipo hapa duniani.

Uhuru bila mipaka ni fujo.

JF bila nidhamu ya kuongea ni fujo...tusikubali watu wachache wakatuharibia JF yetu.....
 
jf ndiyo sehemu yalipofichuliwa maovu na baadhi ya ufisadi na vitu ambavyo havikuwa vikienda saw yani jf imemuamsha rais na watumish wengne.
 
Bhado najiuliza Huyu ni nyani ngabu.
 
Mimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon

Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema
Naamini ungekua na real ID usingesema haya maneno na kama ungesema hata mmeo anayo kazi nyingine ya ziada..[emoji30][emoji30][emoji30]
 
hakiak mkuu,muhimu keelekezana pale inapobidi
 
"Kwakua Aliweza Kulisukuma Gari Mpaka Upande Wa Pili Basi Akadhani Na Udereva Anauweza"..Somji Juma Malekani.....
 
Kwani mtu akiandika kitu unakipokea tu? Uwongo ni sehemu ya maisha na inasaidia wavivu wafanye utafiti kujua ukweli siyo kulishwa tu. Ya dangote yameiumbua serikali yetu. Alipokuwa anaongea dangote mwenyewe uliona viongozi wetu walivyokuwa wadogo kimwili kiakili na kiroho. Nilishindwa kuamini niliyekuwa namwona jirani na dangote ni yule prof wa nishati na madini iliyeshaongea mengi kuhusu dangote tofauti na dangote mwenyewe. Hawajali kufanya uchunguzi ni kuropoka tu kwenye vyombo vya habari. Sijui mkalimali alitafsirije kauli ya washindwe na walegee. Mungu ivushe Tanzania
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…