Nataka Rais Magufuli ashindwe

Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Hakuna kilichogeuka katika msimamo wangu!

Tatizo ni akili yako. Una akili ndogo sana.
Hahahahaha....

Wewe mwenye akili yako kubwa hebu tueleze sasa. Ulikuwa unamaanisha nini kwenye uzi wako huu?

Tupo tunakusikiliza
 
Hahahahaha....

Wewe mwenye akili yako kubwa hebu tueleze sasa. Ulikuwa unamaanisha nini kwenye uzi wako huu?

Tupo tunakusikiliza

Nilikuwa namaanisha hapendwi mtu.

Yeyote yule anakosolewa.

Siyo kama nyie manyumbu ambao hamuwezi kumkosoa mfalme wenu.
 
Nilikuwa namaanisha hapendwi mtu.

Yeyote yule anakosolewa.

Siyo kama nyie manyumbu ambao hamuwezi kumkosoa mfalme wenu.
Sasa hivi wewe unaweza kumkosoa?

Nikikupa nafasi ya kumkosoa kwenye jambo lolote lile SASA HIVI unaweza?
 
Eti alikuwa anabana pua "nataka raisi Magufuli ashindwe" kwenda huko! Leo ndio anasema hakuna kama yeye katika nchi hii na misifa chungu nzima. Sijui kalipiwa bili ya nini huyu! Kuna wakati nilisema au Nyani Ngabu ka rest in peace na mrithi wake kachukua nywila yake anaendelea kuandika JF?
 
Eti alikuwa anabana pua "nataka raisi Magufuli ashindwe" kwenda huko! Leo ndio anasema hakuna kama yeye katika nchi hii na misifa chungu nzima. Sijui kalipiwa bili ya nini huyu! Kuna wakati nilisema au Nyani Ngabu ka rest in peace na mrithi wake kachukua nywila yake anaendelea kuandika JF?
Labda kapata uteuzi mkuu maana sio kwa sifa anazompa
 
Eti alikuwa anabana pua "nataka raisi Magufuli ashindwe" kwenda huko! Leo ndio anasema hakuna kama yeye katika nchi hii na misifa chungu nzima. Sijui kalipiwa bili ya nini huyu! Kuna wakati nilisema au Nyani Ngabu ka rest in peace na mrithi wake kachukua nywila yake anaendelea kuandika JF?
Au tumpime kwa kiingereza tujue kama Ngabu wa sasa huyu fake au OG..
 
Eti alikuwa anabana pua "nataka raisi Magufuli ashindwe" kwenda huko! Leo ndio anasema hakuna kama yeye katika nchi hii na misifa chungu nzima. Sijui kalipiwa bili ya nini huyu! Kuna wakati nilisema au Nyani Ngabu ka rest in peace na mrithi wake kachukua nywila yake anaendelea kuandika JF?
Mbana pua. Keishapewa kitu si bure.
 
Kwani mtu ukitoa maoni yako pasipo kutoa matusi au ukianzisha uzi wenye uhalisia na usio wa kichochezi unakuwa na hofu ya nini?

Tatizo lililopo kuna baadhi yetu tumekuwa maarufu kutunga stori za uongo na kuzijengea hoja then tunataka jamii iamini kama ni kweli kumbe ni upotoshaji

Mtu kama umeanzisha mada yako na ushahidi unao kwa nini uogope? Endapo utahitajika polisi si unapeleka ushahidi?

Fikiria mtu anayeanzisha uzi hapa eti Dangote anahamishia kiwanda Kenya na hizo habari zinasambaa dunia nzima kumbe ni uonge pasipo kufikiria negative impacts kwa wawekezeji walioko huko nje. Mtu kama huyu leo hawezi fanywa kitu sababu tu anatumia ID feki sishangai kesho akaibuka na jambo jingine

Watu wa namna hii lazima washughulikiwe hakuna kulea ujinga. Watanzania tumekuwa maarufu sana wa kupika majungu

Ninakubaliana na wewe kabisa uhuru wa kutoa maoni lazima uheshimiwe na watawala kwani ni takwa la kikatiba lakini uhuru huo lazima uzingatie utu na nidhamu.

Leo mtu akimchukia mtu flani sababu za kiitikadi za vyama au jambo lolote, kesho anamtungia tuhuma na kusambaza kwenye mitandao. Vitu vya namna hiyo siyo vya kulea

Tundu Lissu mbona alikuwa anatoa ushahidi wa anachokisema lakini kila kukicha anakamatwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom