Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Hawa walikua mapandikizi tu...
 
Naafikiana na Wewe, Iwapo mtu akija nyumbani kwako, akaomba Kibarua, Ukamwamini Ukampa, Kisha unakuja kukakuta ameitia Nyumba moto, Mke na watoto wako wako ndani, na Yeye amezuia mlangoni Mtu asizime moto. Ameketi na kula Mahindi ya kuchoma huku akiangalia moto kama Senema na kufurahishwa na vilio vya waliopo ndani, Unampigia Magoti unamsihi aelewe kuwa nyumba inateketea na Mbaya zaidi familia yako Inaangamia, Yeye anaona uu mdhaifu anakuzaba vibao. Nadhani kwa kumziba asifurahie senema yake, na makelele yako yanayomfanya asiburudishwe na Vilio vya wana na binti zako.

Swali ni je Utaendelea Kulia lia ukidhani ghafla Huruma itamjia abadilike? Na hata kama hilo linawezekana, na kama muujiza huo wa yeye kuona huruma waweza kutokea? Haitakuwa too late Kunusuru Familia yako? Sijui wewe, Lakini kwa maoni yangu Udictator unaoendelea Tanzania Tumeshafikia hapo. Idiamini hakuanza Kuua watu kwa halaiki inaanza kidogo kidogo. Soon atapotea huyu, kesho yule, kesho atakamatwa huyu. Kama hisia zangu ni Kweli soon hali ya Tanzania itakuwa mbaya kuliko Uganda ya 1972-78. Mtu anayesema kuwa Angeweza Kupoteza watu zaidi ya Nusu kwa kuimba tu, Mtu anayefukuzia watoto 7000 Mitaani, Bila chakula, Bila Nauli na Bila pa kulala na kuwatukana juu. Mtu wa aina hii atazuiwa na nini kutokufaya maovu zaidi?

We will not wish the Dictators of Africa away by just crying, The only way we can eliminate them it is to clearly let them know, The hell, if they don't change their hearts, sooner than later, there is no safe place for them. A Total regime change agaist dictatorships is very difficult, but focusing personally on the dictator himself/herself is as easy as a cup of tea! The problem is we are too nice and fearful, n they know this fact, n the have made it their capital. My dears if you play nice with a dictator he don't say thank you, he smell weakness and that is an increment on his capital. The language they understand can quickly is strength! paying them 10 times over with their own coin!
 
JPM ndiyo chaguo letu kama hukumpigia kura isikuume kaa kimyaaaa, umeandika povu jingi as if wewe ni MUNGU kumbe huna lolote hujui chochote! unachonganisha watu tu humu ndani, kwa taarifa yako tumeweka pamba masikioni, kama inakuuma yeye kuwa Rais wa Tanzania kunywa SUMU ufe upotee kabisaaa usionekane humu JF. Just simple kanywe sumu ufe tuachie RAIS WETU, Hata kama humpendi huyo ndiyo RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, hakuna mwingine.
 
Vijana wa Kitanzania mnaongoza kwa UNAFIKI ulimwenguni. Unatumia Fake ID humu JF wakati huo huo unahoji Uhalali na Utendaji wa Rais wa Jamhuri ya Muungano! Ama kweli wapiga Dili mmeshikwa pabaya.
Wewe ni Duterte wa Ufilipino?
 
nimechelewa kuona post yako ndugu. kwanza kabisa nimelelewa na mama pekee kwa maisha ya kifukara sana, hivyo kati ya watu wanaofahamu na waliokulia maisha magumu basi mimi.
 

Duh!

Povu lote hilo la nini sasa?

Na atashindwa tu huyo Magu wako.
 
Kwan ukigonga like unaitwa mchochezi? Inabidi niishie kwenye like kwa sababu nilikuwa na mchango ila mengi yamefanana na yangu
 
Na kwa swali lako la pili, nina degree ya miamba ambayo nimepata kwa tabu mwaka huu. elimu yote ni kwa msaada wa mama na ndugu. sijaajiriwa ila nimejiajiri kwa kilimo na nitatoka.
 
We ni chupi,mzandiki kishedede nk fala wee
 
Cjaogopa mkuu! Nimesema kuwa wachangiaji makin wameenda sawa name hasira nlizokuwa nazo
 

SHKAMOO NYANI NGABU! TUNGEKUWA NA MAJASIRI KAMA WEWE WA5 TU, NCHI INGENYOOKA
 
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…