Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Kakaa sisi tukae kimya tu.
Tumuache Mungu afanye kazi yake. Mkono wa Mungu utainuka siku moja na siku ukiinuka ........sina mengi.
 
Huyu rais nilidhani angekuwa wa maana kumbe bora mpenda safari Kikwete. Huu udikteta angeupeleka kwenye mambo ya msingi angefanya la maana sana. Seems hana shughuli anazi create kama Mjinga mjinga yule taahira Paul Makonda
hapana mkuu jk alikuwa mbovu na historia ilisha andikwa, huyu naye ndo anaandika ya kwake. Nadhani sasa mtnaanza kumwelewa aliye sema dikteta uchwara. kule us trump kagomewa na wafanya kazi wa kampuni za mawasiliano kumpa taarifa za kidini!!!!..........
 
kwi kwi kwi kwo kwo nimejikuta kwenye hali ndani ya mwendo kasi jamaa wananiangalia huyu anacheka nini.
 
ndugu usujidanganye kuwa ukitoa taarifa za ukweli ndo utakuwa salama!. determinant ya usalama wako ni yule anaye athirika na taarifa yako, kama ana nguvu za kukuadhibu atakuadhibu pamoja na ukweli wako wa wazi! kumbuka kupekuliwa kwa kubenea na kumwagiwa tindikali zikitafutwa zinazo daiwa kuwa nyaraka za serikali zinazo husu kagoda, richmond na EPA. Kwa kifupi wistle blowers hawako salama kama taarifa zao zina waumiza wenye mamlaka!.
 
Wewe unasema unaomba ashindwe wakati ameshindwa tayari kauli zake tu zinaonyesha hana nia njema na taifa hata hili la kukamata watu anaoona wanakosoa serikali yake bado ni kushindwa zaidi tabia ya kiongozi mwoga inadhihirisha kushindwa kwa mtu
 
ndugu yangu unapotamka mh. rais ni dikteta lazima ujue maana ya dikteta and features of dictator but also how dictator come into power?sasa sio unaongea vitu kwa sababu umemsikia Lissu au Lema kaongea so nawe unalopoka tuu ili uonekane ila kabka hujaongea pima impacts ya kauli yako kwako binafsi,,familia yako na jamii itayosikia au soma maneno yako,,kubwa hacheni watu wafanye kazi ili nchi iende mbele,,Rwanda wananchi walipiga kelele kibao while Kagame came into power but leo wako wapi?sasa Rwanda wanatuzidi nini kwa utajiri wa mali asili?hacheni maneno ya uchonganishi na kipumbavu hayo
 


Sasa wewe unadhani kuna haja gani ya kumsaidia vita mtu ambaye hana umuhimu wowote kwenye maisha yangu....sana sana anafanya maisha yangu yanakuwa magumu...ni kweli Kabisa nitaungana na adui yake ili tumshinde na kumvurumishia mbali..
 
ndugu yangu unapotamka mh. rais ni dikteta lazima ujue maana ya dikteta and features of dictator but also how dictator come into power?
Kwani Hitler aliingiaje madarakani kama siyo kwa kuchaguliwa kwa kupigiwa kura? Udikteta siyo jinsi unavyoingia madarakani bali jinsi unavyoishi ukiwa madarakani!!
 


mtoa maada hawawezi mkamata maana ananguvu ya kupambaana kisheria. polisi wkijua mnyonge watakumliza huku wanakungalia usoni
 
Kwani Hitler aliingiaje madarakani kama siyo kwa kuchaguliwa kwa kupigiwa kura? Udikteta siyo jinsi unavyoingia madarakani bali jinsi unavyoishi ukiwa madarakani!!

Lumumba buku saba walishalishwa kasa kuwa ili uitwe dictator lazima uingie madarakani kwa kupindua serikali Mkuu..
 
Mungu atawalaani wale wote wanaokandamiza haki za msingi za kujieleza!
 
Kwa nini usimdindie wewe mmeo na watoto wako nyumbani kwako mpaka utuhusishe sisi. Chuki binafsi ni matapishi tu unayotuletea hapa. Hatuna muda nazo. Kama umeshindwa maisha hapa duniani kwa nini usijaribu ahera !
 
h
Huyu rais nilidhani angekuwa wa maana kumbe bora mpenda safari Kikwete. Huu udikteta angeupeleka kwenye mambo ya msingi angefanya la maana sana. Seems hana shughuli anazi create kama Mjinga mjinga yule taahira Paul Makonda
hajiamini kwa kila anachokifanya shindwe na kulegea
 
Mungu atawalaani wale wote wanaokandamiza haki za msingi za kujieleza! Mwenyezi mungu pia ataiangusha serikali dhalimu inayoongozwa na kiongozi dhalimu anayejivika utukufu!
Haya madua ya kuku nadhani. Yatawarudia mwenyewe. Serikali ni mimi na wewe! Sasa kama Mungu akiiangusha unadhani wewe na mimi tutaponea wapi. Kamanda jitambue
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…