nataka niwe no 4 nifanyeje?

nataka niwe no 4 nifanyeje?

Cha msingi mashine iwe poa na haitemi,kwan unaweza ukawa 4 lkn kila anayegusa harudi.
tatizo lako nilishakuambia sijui unakulaga k za wapi unalishwa viporo mjini hapa...mwanamke anaejitambua k ndo mpango mzima ...hapa mjini hadi zinaungwa siku hizi.acha kumega mabek 3 wewe
 
tatizo lako nilishakuambia sijui unakulaga k za wapi unalishwa viporo mjini hapa...mwanamke anaejitambua k ndo mpango mzima ...hapa mjini hadi zinaungwa siku hizi.acha kumega mabek 3 wewe

Smile plz naomba tuongee vzr. Kiukweli mi sjawai onja unazosemaga.
 
Smile mbona ni rahisi sana:


  1. Angalia katika table ya Body Matrix Index, BMI yako ikoje, then utajua kama wewe ni undeweight, au normal, au overweight au Obesity
  2. Pili pima % yako ya fat pia utajua kama mafuta uliyonayo mwili yako juu ya kiwango au la
  3. Ukishajua 1 na 2 utajua upunguze uzito kiasi gani
  4. Ukishajua fanya diet plan ya kukata uzito. Kwa ulimwengu wa sasa ni rahisi sana kuliko maelezezo: You simply use "High Thermic Effect Food". Hii ni kiboko ya kutoa mafuta mwili na kutoa kitambi na nyama uzembe
  5. sambamba na hilo, ukitaka shape kama na 4 uliyosema ambayo kimsing ni "Pear" au "Hourly Glass" au "Namba 8", inabidi uhakikishe una "flat stombach" na "Wide Hips", hilo pia linawezekana, fanya mazoezi ya sit ups ambayo yatakaza misuli ya tumbo na kuondoa kitambi kabisa na nyama uzembe. Pia mazoezi ya Anaerobic na Aerobic yanafaa kwa ajili ya kubalance misuli na mafuta

NB: Hips kubwa sometimes ni Genes. Kama kwenu hakuna ni hakuna tu, unaweza ukawa ulala Gym lakini kama wewe ni namba 9, ukakuta unabaki nayo hiyo hiyo.

Kwa maelezo ya ziada ni PM.

QED

hapo nilipobold ndio nini?
 
La haulaaaaa minilijuwa namba 4 term hii kwenye Mock kumbe hizo,,,, Kweli kistaajabu ya Musa....
 
toa Aljazeera aka jamaa wenye osfisi jirani na KAMATA tu utakuwa kama no 4
 
Namba 3 is cool.....4 kwendea mbele ni mizigo na maradhi tu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Aisee mshikyi mbona kwenye avatar yako unaonekana namba 4 tayari bhana!!, au wataka kupunguza bell kidogo! Nina series nyingi nzuri (indoor) za kushape mwili (mazoezi). kuongeza sina wala sijui, ila mwili through mazoezi waweza kuushape utakavyo.

Naomba ututajie hizo series za kupunguza mwili, Please!.
 
Unataka hips? kwanini usitake kuwa namba 3 petit and sexy ?
 
Poor me,

Kwetu ni namba 10, na nie nataka kuwa 8, sijui nitafanyaje kwanza ili niziunge afu zikae kama 8

Smile mbona ni rahisi sana:


  1. Angalia katika table ya Body Matrix Index, BMI yako ikoje, then utajua kama wewe ni undeweight, au normal, au overweight au Obesity
  2. Pili pima % yako ya fat pia utajua kama mafuta uliyonayo mwili yako juu ya kiwango au la
  3. Ukishajua 1 na 2 utajua upunguze uzito kiasi gani
  4. Ukishajua fanya diet plan ya kukata uzito. Kwa ulimwengu wa sasa ni rahisi sana kuliko maelezezo: You simply use "High Thermic Effect Food". Hii ni kiboko ya kutoa mafuta mwili na kutoa kitambi na nyama uzembe
  5. sambamba na hilo, ukitaka shape kama na 4 uliyosema ambayo kimsing ni "Pear" au "Hourly Glass" au "Namba 8", inabidi uhakikishe una "flat stombach" na "Wide Hips", hilo pia linawezekana, fanya mazoezi ya sit ups ambayo yatakaza misuli ya tumbo na kuondoa kitambi kabisa na nyama uzembe. Pia mazoezi ya Anaerobic na Aerobic yanafaa kwa ajili ya kubalance misuli na mafuta

NB: Hips kubwa sometimes ni Genes. Kama kwenu hakuna ni hakuna tu, unaweza ukawa ulala Gym lakini kama wewe ni namba 9, ukakuta unabaki nayo hiyo hiyo.

Kwa maelezo ya ziada ni PM.

QED
 
tatizo lako nilishakuambia sijui unakulaga k za wapi unalishwa viporo mjini hapa...mwanamke anaejitambua k ndo mpango mzima ...hapa mjini hadi zinaungwa siku hizi.acha kumega mabek 3 wewe

Duuh!

Utofauti wa "K" moja na nyingine unategemea na nini?

Hebu tunaomba majibu ya Kitaaluma. Ikiwezekena fungua thread mpya.
 
Back
Top Bottom