Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
- Thread starter
- #81
ahahaaa mi siwezi kugombana na Madam B hata siku moja tulipelekana chumvini tanga ujue ...na kuhusu Jestina...huyu ni pacha wangu jjjjj si unajua... i love her with all my heart no matter what!
Ngoja niwachonganishe na nye! Tunaita uchochezi aka FITNA kama ifuatavyo🙁Kama Mtwara walivyochopchewa tu)
Khaaaaaaaaaaaaaaa! Madame B umesikia? Jamani jamani nyie, haaaa! Anakutukana hivin hivi mchana na kila mtu amesoma. eti Smile anakwambia "Si unajua viroba?". yaani ningekuwa mimi sikubali. nampiga hadi awe no. 1 kwenye post yake.
Atakutukana vipi bana na wewe unaangalia tu? Aisee, usikubali labda kama wewe si Madame B ninayekujua. Khaaa! Mamaaaaaaaaaaaa . . . . . yaani usipo m-RIP nitashangaa sana sana. Mweeeeh!
cc: Jestina nishakaanga mbuyu ngoja watafune sasa . . .
Last edited by a moderator: