Superman
R I P
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,707
hapo nilipobold ndio nini?
Jestina na wewe bana, si hata uki-google tu ungepata jibu?
Anyway, siku hizi kukata uzito si lazima saaana kwenda Gym ingawa umuhimu wake na mazoezi bado uko pale pale.
Iko hivi, "High Thermic Food" ni vile vyakula ambavyo ukivila kwanza havina wanga au vina wanga kidogo sana. lakinin pia ukivila, mwili unatumia calories nyingi sana kuvibadilisha ili viweze kutumika mwili. matokeo ya kutumia calories nyingi toka mwilini ni kupunguza mafuta au unene na hivyo kuondoa nyama uzembe, kitambi nk nk.
Upo hapo?
bado kuna juice/drinks therapy ambayo ukitumia hizo lazima kilo 2 hadi 3 zikatike kama uko serious.
Madame B na Smile: ni kweli au uongo?
Last edited by a moderator: