Nataka nitengeneze Movie ya kijasusi

Nataka nitengeneze Movie ya kijasusi

nenda DRC kuna ma directors wa film za ukweli
tafuta hii movie 'VIVARIVA' utaniambia
wapo wengi na movie zao zinaoneshwa hadi europe...

movie kali sana lakini ilifanywa na wafaransa, wacongo wali act tu
 
umesema muvi za kijasusi? mcheki mwigul... atakusaidia kwani ye ni mzoefu wa hayo makitu
 
Nakushauri nenda kajifunze kwenye bunge la katiba utapata uzoefu wa kutosha haya kajipange.
 
mkuu ukiweza cheza movie ya kijasusi jinsi ma ccm yanavyo kwapua mtonyo na kwenda kuuficha uswis au ile ya dege lililo beba twiga ila usije Rudi bongo so unakumbuka issue ya mapanki!
 
Hapo sawa kabisa na mm wa forensic computing ntapata kazi maana nshachoka mtaani. Naunga mkono hoja asilimia zote na nyongeza ya tano
 
movie kali sana lakini ilifanywa na wafaransa, wacongo wali act tu

Usiongee usichokijua

Director wa VIVARIVA ni mkongo anaitwa Mungo
wa lavie ebelle anaitwa Mweze Ngagura ni mkongo pia
 
Aisee Good idea hiyo mimi naomba niwe actor napenda sana movie za intelligence na heroic adventures kama za JackBauer etc
 
Aisee Good idea hiyo mimi naomba niwe actor napenda sana movie za intelligence na heroic adventures kama za JackBauer etc
Jack bauer nimemiss yaani fox wananinyima raha movie za intelligence zinahitaji kufumba macho kwenye kuwekeza pesa inahitaji za uhakika series kama intelligence 24 live day zimetumia billions of dollars
 
nenda DRC kuna ma directors wa film za ukweli
tafuta hii movie 'VIVARIVA' utaniambia
wapo wengi na movie zao zinaoneshwa hadi europe...

mkuu The Boss umeniwahi aisee mimi kuna rafiki yangu wa kifilipino ndo alinitambulisha kwenye hii movie industry ya Africa. Akanipa two movies Viva Riva na Nairobi half life, hea is a producer akasema kuna maproducer wengi sana Africa, mie wakati huo sijui hata kidogo. The guys waliotengeneza ile kitu ya mafuta from Angola and the whole Riva character are goood aiseee. Wish na sie bongo tufike levo zile
 
Last edited by a moderator:
Tunaanza na ya wizi wa almas mwadui.
 
Tunaanza na ya wizi wa almas mwadui.

iyo itafaa kweli kwel tena tukipata production team nzuri stori inaweza oneshwa hadi theater za Europe.unakumbuka captain philip?ile ata sis tunaweza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom