Nataka nitengeneze Movie ya kijasusi

Nataka nitengeneze Movie ya kijasusi

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,951
Salamu zenu wenzangu.
Mambo ya bongo movie yamenichosha.
Mimi napenda sana kutazama movie na nilikuwa na ndoto ya kuwa mmoja ya wafadhili wakubwa wa movie.

Sasa nimeamua kuwekeza kama milioni miamoja hivi kwaajiri ya kutengeneza movie ya kijasusi.
Sijui ninaweza kupata wacheza movie wazuri kwa hapa bongo!!? maana nikiwacheki akina Rey wamekaa divyo sivyo.

Unajua Jeshi letu la Tanzania limefanya operation nyingi sana kwenye nchi mbalimbali. Kwa hiyo tunaweza kabisa tengeneza bonge la movie ya kijasusi. Hebu nipeni Idea inawezekana kweli?
 
eeeh nakumbuka movie za Hollywood...stori nyingi ni marekani na russia; na marekani lazima awe sterling...movie nazo ni propaganda ila watizamaji huwa hatuko conscious na hilo....
 
eeeh nakumbuka movie za Hollywood...stori nyingi ni marekani na russia; na marekani lazima awe sterling...movie nazo ni propaganda ila watizamaji huwa hatuko conscious na hilo....

Tafuta movie za DRC

1.la vie belle ya pepe kale na papa wemba

2.VIVARIVA ...hii kali ya mwaka jana
 
Nicheki km upo very serious, nikupe japo hints!
Movie za kijasusi ndio movie ninazoweza kuziangalia bila kuchoka!
 
Salamu zenu wenzangu.
Mambo ya bongo movie yamenichosha.
Mimi napenda sana kutazama movie na nilikuwa na ndoto ya kuwa mmoja ya wafadhili wakubwa wa movie.

Sasa nimeamua kuwekeza kama milioni miamoja hivi kwaajiri ya kutengeneza movie ya kijasusi.
Sijui ninaweza kupata wacheza movie wazuri kwa hapa bongo!!? maana nikiwacheki akina Rey wamekaa divyo sivyo.

Unajua Jeshi letu la Tanzania limefanya operation nyingi sana kwenye nchi mbalimbali. Kwa hiyo tunaweza kabisa tengeneza bonge la movie ya kijasusi. Hebu nipeni Idea inawezekana kweli?
Muda si mrefu utawekwa ndani kwa kuitwa GAIDI kuwa makini.
 
hizo pesa kuna mambo kibao ya kufanya sio lazima movie jenga hospital ya vichaa utusaidie mkuu
 
muvi nyingine ni kama vile blacklist na strike back. ila hizo ni series na sio muvi, ila hutojuta kupotezA mda wako kuzicheki.
 
nitafute kwenye uandish wa story,maana nina mpango wa kwenda kujifunza kuongoza movie za namna hiyo,nipm mkuu
 
Niko DRC ngoja nikufanyie ka utafiti hasa kuhusus actors na directors...
 
Salamu zenu wenzangu.
Mambo ya bongo movie yamenichosha.
Mimi napenda sana kutazama movie na nilikuwa na ndoto ya kuwa mmoja ya wafadhili wakubwa wa movie.

Sasa nimeamua kuwekeza kama milioni miamoja hivi kwaajiri ya kutengeneza movie ya kijasusi.
Sijui ninaweza kupata wacheza movie wazuri kwa hapa bongo!!? maana nikiwacheki akina Rey wamekaa divyo sivyo.

Unajua Jeshi letu la Tanzania limefanya operation nyingi sana kwenye nchi mbalimbali. Kwa hiyo tunaweza kabisa tengeneza bonge la movie ya kijasusi. Hebu nipeni Idea inawezekana kweli?

Aisee nipo tayari kucheza hiyo movie
 
mkuu tafadhari naomba Mungu akupe heri lengo lako litimie
actor niko hapa ninauwezo wa kufit hiyo muvi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom